Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kama wewe ni mzoefu wa kusafiri usiku utakua unapafahamu Kibo. Pale huwa na IT za usiku, privates na rental achilia mbali malori. Mkiwa wengi inaitwa Coaster. Mimi nimeingia Dom asubuhi saa kumi na mbili. Mchana nikakandwa na kugeuza na sasa nipo Dar
Pole mkuu,me pia nipo Dom nimefika saa saba ma hapa nipo stand tu,pakikucha naingia huko then nageuza.Yani inataka moyo sn haya mapambano.

Aisee watekeleze lile agizo la interview kufanyika kikanda,hii inaumiza sn watanzania masikini sisi.Hapa nina hali mbayaaaa
 
Kama wewe ni mzoefu wa kusafiri usiku utakua unapafahamu Kibo. Pale huwa na IT za usiku, privates na rental achilia mbali malori. Mkiwa wengi inaitwa Coaster. Mimi nimeingia Dom asubuhi saa kumi na mbili. Mchana nikakandwa na kugeuza na sasa nipo Dar
Mlitoka saa ngapi baada ya mkando?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mchakato ule sijui wanafanyaga nini mpaka unakuwa hivyo
Huenda uhakiki wa nyaraka unafanyika tena na mchakato wa kuingizwa kwenye payroll unafanyika pia
 
Back
Top Bottom