Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Tatizo ni centralization of hiring process, each GOV. entity should recruit themselves instead of centralised system where corruption could take its toll. Sijui tulikosea wapi, nafasi zilishajazwa siku nyingi hata kabla ya interview yenyewe kuna shida kubwa hapa.
Hii centralization ndo njia bora kabisa kwani kuna TRANSPARENCY na inawapunguzia inconvenience na inakata gharama(mfano gharama za kununua magazeti n,k)kwa Job Seekers kwani kuna one stop centre kwa job opportunities zinazopatikana kwenye Public Service.Vilevile hii centralization imepunguza sana undugunization kwenye taasisi mbalimbali kwani kuna taasisi nazifahamu zamani watu walikuwa wanawaegesha ndugu zao kama interns kwenye taasisi husika,then kazi zikitangazwa wao tu ndio wanachukuliwa wengine wanakuwa wasindikizaji tu.na tangazo linakuwa ni kwa ajili ya justifications tu.Hata hivyo,kila mfumo huja na changamoto zake na kwa kuwa huu wa PSRS nadhani upo kwenye growth stage hivyo ukifika kwenye maturity na kero mbalimbali zikafanyiwa kazi mambo yatakuwa bora kabisa
 
Imagine hadi Avatar zinazimikiwa[emoji3][emoji3][emoji3]

Hahaha, yani na hizo picha wanazoweka naamini hasa wale wanaume wanaopenda shortcuts watakuwa wameshazifanyia mambo mengi sana.
 
Hii centralization ndo njia bora kabisa kwani kuna TRANSPARENCY na inawapunguzia inconvenience na inakata gharama(mfano gharama za kununua magazeti n,k)kwa Job Seekers kwani kuna one stop centre kwa job opportunities zinazopatikana kwenye Public Service.Vilevile hii centralization imepunguza sana undugunization kwenye taasisi mbalimbali kwani kuna taasisi nazifahamu zamani watu walikuwa wanawaegesha ndugu zao kama interns kwenye taasisi husika,then kazi zikitangazwa wao tu ndio wanachukuliwa wengine wanakuwa wasindikizaji tu.na tangazo linakuwa ni kwa ajili ya justifications tu.Hata hivyo,kila mfumo huja na changamoto zake na kwa kuwa huu wa PSRS nadhani upo kwenye growth stage hivyo ukifika kwenye maturity na kero mbalimbali zikafanyiwa kazi mambo yatakuwa bora kabisa
Mfumo wa sasa una afadhali kidogo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uhakika yani Prok atakosa bahati huyu hajui kama mwezi huu nalamba asali ya utumishi na suti yangu kaliiii ya blue hahhhh

Hahaha, hata majobless wako kwa madaraja. Wewe uko kwenye daraja la waliofika Oral zaidi ya moja, hili ni kundi lenye uhakika zaidi ya jobless mwenye Received tupu kwenye akaunti yake, au aliyeshia Written.
 
Hahaha, hata majobless wako kwa madaraja. Wewe uko kwenye daraja la waliofika Oral zaidi ya moja, hili ni kundi lenye uhakika zaidi ya jobless mwenye Received tupu kwenye akaunti yake, au aliyeshia Written.
😂😂😂😂Kwahiyo group letu la jobless waliofika oral lipo juu hahhh
 
Tutarudi tulikotoka kuwekana ndugu na rushwa
Sijui hili linatawaliwa na njia inayotumika sasa hivi???? sidhani hata kidogo, kuna mifano mingi watu walifanyiwa usahili wakachukuliwa wachache na kuwakuta wenzao wameanza kazi siku nyingi wala hawakufanya interview yenyewe. Hata hao waliopo huko wanaweza kupewa rushwa na upendeleo unaouzungumza ukafanyika. This is TZ bana!!!!!.
Hii centralization ndo njia bora kabisa kwani kuna TRANSPARENCY na inawapunguzia inconvenience na inakata gharama(mfano gharama za kununua magazeti n,k)kwa Job Seekers kwani kuna one stop centre kwa job opportunities zinazopatikana kwenye Public Service.Vilevile hii centralization imepunguza sana undugunization kwenye taasisi mbalimbali kwani kuna taasisi nazifahamu zamani watu walikuwa wanawaegesha ndugu zao kama interns kwenye taasisi husika,then kazi zikitangazwa wao tu ndio wanachukuliwa wengine wanakuwa wasindikizaji tu.na tangazo linakuwa ni kwa ajili ya justifications tu.Hata hivyo,kila mfumo huja na changamoto zake na kwa kuwa huu wa PSRS nadhani upo kwenye growth stage hivyo ukifika kwenye maturity na kero mbalimbali zikafanyiwa kazi mambo yatakuwa bora kabisa
Tulitoka huko na kulikuwa na sababu lukuki kwa nini entities zinazotaka mfanyakazi kuhusika/ku-recriuit staff wao, miaka ile ya Structural adjustment haya yalipendekezwa na kutekelezwa kwa kipindi kirefu, kilichotakiwa sio kurudi kwenye cetralization rather tungeuboresha. Mwenye kujua staff anaemtaka ni employer/entity inayotaka kuajiri sio wale huko. Kingine nilichokiona ni sababu za kisiasa zaidi kuliko uhalisia na kuzungumzia upendeleo wa kindugu n.k. Siku hizi post zote zimekuwa za kisiasa wakurugenzi wa halmashauri/ majiji nk. wamekuwa makada wa chama pendwa kwa malengo ya kushinda uchaguzi na kutoka kwenye mfumo uliopendekezwa na UNDP miaka ile. Sababu nyingine ni siasa tu na sio nepotism. Hata makarani wa Sensa walitembea na vimemo vya chama pendwa ili waajiriwe acheni hii.
 
Sijui hili linatawaliwa na njia inayotumika sasa hivi???? sidhani hata kidogo, kuna mifano mingi watu walifanyiwa usahili wakachukuliwa wachache na kuwakuta wenzao wameanza kazi siku nyingi wala hawakufanya interview yenyewe. Hata hao waliopo huko wanaweza kupewa rushwa na upendeleo unaouzungumza ukafanyika. This is TZ bana!!!!!.

Tulitoka huko na kulikuwa na sababu lukuki kwa nini entities zinazotaka mfanyakazi kuhusika/ku-recriuit staff wao, miaka ile ya Structural adjustment haya yalipendekezwa na kutekelezwa kwa kipindi kirefu, kilichotakiwa sio kurudi kwenye cetralization rather tungeuboresha. Mwenye kujua staff anaemtaka ni employer/entity inayotaka kuajiri sio wale huko. Kingine nilichokiona ni sababu za kisiasa zaidi kuliko uhalisia na kuzungumzia upendeleo wa kindugu n.k. Siku hizi post zote zimekuwa za kisiasa wakurugenzi wa halmashauri/ majiji nk. wamekuwa makada wa chama pendwa kwa malengo ya kushinda uchaguzi na kutoka kwenye mfumo uliopendekezwa na UNDP miaka ile. Sababu nyingine ni siasa tu na sio nepotism. Hata makarani wa Sensa walitembea na vimemo vya chama pendwa ili waajiriwe acheni hii.

Umeongea hoja nzito sana Mkuu, na mimi ndio maana kila siku napiga kelele sana kwamba pamoja na huu mfumo kuwa bora, bado unahitaji maboresho zaidi, tusiogope sana mapungufu ya uboreshaji, yanaweza kuwa na faida nyingi kuliko hasara.
 
Umeongea hoja nzito sana Mkuu, na mimi ndio maana kila siku napiga kelele sana kwamba pamoja na huu mfumo kuwa bora, bado unahitaji maboresho zaidi, tusiogope sana mapungufu ya uboreshaji, yanaweza kuwa na faida nyingi kuliko hasara.
Nakataa Hilo la mfumo wa zamani wa taasisi ndio upewe mamlka ya kuajiri mtu wao wanamtaka ,nasema hvyo kwasabbau Kuna ndugu zetu Leo hi wasingekuwa huko waliko sashv
 
Sijui hili linatawaliwa na njia inayotumika sasa hivi???? sidhani hata kidogo, kuna mifano mingi watu walifanyiwa usahili wakachukuliwa wachache na kuwakuta wenzao wameanza kazi siku nyingi wala hawakufanya interview yenyewe. Hata hao waliopo huko wanaweza kupewa rushwa na upendeleo unaouzungumza ukafanyika. This is TZ bana!!!!!.

Tulitoka huko na kulikuwa na sababu lukuki kwa nini entities zinazotaka mfanyakazi kuhusika/ku-recriuit staff wao, miaka ile ya Structural adjustment haya yalipendekezwa na kutekelezwa kwa kipindi kirefu, kilichotakiwa sio kurudi kwenye cetralization rather tungeuboresha. Mwenye kujua staff anaemtaka ni employer/entity inayotaka kuajiri sio wale huko. Kingine nilichokiona ni sababu za kisiasa zaidi kuliko uhalisia na kuzungumzia upendeleo wa kindugu n.k. Siku hizi post zote zimekuwa za kisiasa wakurugenzi wa halmashauri/ majiji nk. wamekuwa makada wa chama pendwa kwa malengo ya kushinda uchaguzi na kutoka kwenye mfumo uliopendekezwa na UNDP miaka ile. Sababu nyingine ni siasa tu na sio nepotism. Hata makarani wa Sensa walitembea na vimemo vya chama pendwa ili waajiriwe acheni hii.
Mie siongelei POLITICAL POST kama RC au DC,lakini hata huo U-DED ambao umegeuzwa wa makada hizo ni loopholes kwenye constitutions.Hata hivyo employer/entities zinazotaka kuajiri bado zinashirikishwa katika some stages kama shortlisting au selections za interview panels lakini hapo kuna check and balance ya PSRS kuhakikisha vigezo mbalimbali kama vya scheme of service(wakati wa Shortlisting) au ku-check conflict of interest(wakati wa selection of Panels etc) .Naongea haya kwa uzoefu kama Senior Citizen ambaye nimeyshahudia katika taasisi nilizowahi kufanyia kazi,kuna Taasisi Moja ya Umma nilifanyia kazi mwanzoni ilikuwa na Menejimenti ya Wazungu tulikuwa tunawachagua vijana based on merits,lkn walivyokamata waswahili sarakasi zilikuwa zinaanzia HR au VIMEMO mpaka inafika sehemu hata wewe line manager unayehitaji mtumishi unaletewa mtu incompetent just because ana conncetion na mtu fulani,matokeo yake Shirika linajaa kabila fulani tu au watu fulani.Hivyo naona bado PSRS ni the best in my opinion
 
Asante kwa kukubaliana na hili, na hapo ndipo suala la wizy unapotakiwa kukubaliana nalo, na yeye ni jobless na kizuri zaidi ni aina ya jobless aliyefanikiwa kuingia Oral zaidi ya mara moja.
Hapa umevuruga sasa[emoji23][emoji23][emoji23], mimi sio jobless wala mwenye job sasa hivi natafuta maisha
 
Back
Top Bottom