Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuendelee kuishi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kheeeee[emoji2955]
InshallahAhsanteni nishasajili line za uwakala nafanya matengenezo ya mwisho japo nimepelea mtaji naamini juma 3 naanza rasmi
Amina mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] One day yes broda
Namzingua tu huyo ndo dada yetu kwenye mihangaiko hii😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ebu mpumzishe Prok bana
Hahahahaaa.[emoji23][emoji23][emoji23]Sema hii ya naot najua lazima kieleweke jiandae na oral tu
sio demu wangu mkuu hahahaaa😂😂😂😂Hahhhh akikuacha sasa ukichanganya na stress za utumishi siitakuwa shida
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]tulia mwana,huyo she namkubali kinona ndomaana nimemuweka
😅😅😅😅[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh akikuacha sasa ukichanganya na stress za utumishi siitakuwa shida
Mkuu nilidhani unatania kama ilivyo kawaida yetu ambapo lazima tutania e pia.Ahsanteni nishasajili line za uwakala nafanya matengenezo ya mwisho japo nimepelea mtaji naamini juma 3 naanza rasmi
😂😂😂😂😂😂Bora nikeshe napiga pasi suti yangu tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii angle imekukalia tenge, bora endelea kugeuza geuza suti ili iwe standby kwa kuivaa na kuibukia kwa Asha Rose Migiro
Ila kumbuka j4 zipo 4 ndani ya mwezi[emoji3][emoji3]muda unaendelea kuyoyoma no new pdf mkuu alotoa utabiri mkeka ni jumanne njoo tujadili kidogo
Ahahahh kwahyo one down 3 to go rightIla kumbuka j4 zipo 4 ndani ya mwezi[emoji3][emoji3]
😂😂😂😂Unatukatisha tamaa mzeeIla kumbuka j4 zipo 4 ndani ya mwezi[emoji3][emoji3]
Nyie jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila shaka demu wako yuko nawe bega kwa bega katika kuusaka huu mrija wa Asali. Shikamana naye usije ukamuacha kama Prok alivyofanyiwa
😂😂😂😂Jobless hapendwi mzee hakuna cha bega kwa bega hapoBila shaka demu wako yuko nawe bega kwa bega katika kuusaka huu mrija wa Asali. Shikamana naye usije ukamuacha kama Prok alivyofanyiwa