Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niwe monitor na Prok monitress baada ya mwaka tunakaleta katoto tunakaita auditorium ile ya udom
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ebu mpumzishe Prok bana
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Sema hii ya naot najua lazima kieleweke jiandae na oral tu
Hahahahaaa.

Nishaanza kutaniwa huku na mama mtoto, anasema nishakandwa. Huwa anasoma uzi huu kimya kimya, halafu anakuwa ananiambia umekandwa. Huku mimi huwa namtishia kuwa "tutamblock asiweze kuona huu uzi wetu" [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Halafu huwa ananipa habari zako kuwa uko outstanding sana kwenye huu uzi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh akikuacha sasa ukichanganya na stress za utumishi siitakuwa shida
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hii angle imekukalia tenge, bora endelea kugeuza geuza suti ili iwe standby kwa kuivaa na kuibukia kwa Asha Rose Migiro
 
Ahsanteni nishasajili line za uwakala nafanya matengenezo ya mwisho japo nimepelea mtaji naamini juma 3 naanza rasmi
Mkuu nilidhani unatania kama ilivyo kawaida yetu ambapo lazima tutania e pia.

Kila la kheri mkuu, Mungu akutangulie na kukusimamia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hii angle imekukalia tenge, bora endelea kugeuza geuza suti ili iwe standby kwa kuivaa na kuibukia kwa Asha Rose Migiro
😂😂😂😂😂😂Bora nikeshe napiga pasi suti yangu tu
 
Back
Top Bottom