Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ujobless shida sana, unaamka asubuhi unakopa bando unaingia website ya ajira then unaona hakuna kitu, unasema ngoja nicheki status ajira portal nako unaona kunakuchanganya tu, unaingia kwenye app ndio unazidi kuvurugwa. Then unakuja jf kupanda miongozo. Dah!!! tabu sana😆😆
 
Ujobless shida sana, unaamka asubuhi unakopa bando unaingia website ya ajira then unaona hakuna kitu, unasema ngoja nicheki status ajira portal nako unaona kunakuchanganya tu, unaingia kwenye app ndio unazidi kuvurugwa. Then unakuja jf kupanda miongozo. Dah!!! tabu sana😆😆
😂😂😂😂😂Hahhhh ishu inakuaga umekopa bando afu kuingia kwenye app unakuta ile not selected na rangi nyekundu aseeh utajilaumu kwanini umekopa bando
 
Unadhani kwenye oral mdada akimlegezea panelist jicho wakati anang'ang'ana kujibu, huoni panelist atakuwa kashatekwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Nawaza tu kwa herufi kubwa
Kila pamelist anatoa marks kwa kilaswali lililoulizwa, kumbuka majibu wanakua nayo na ikitokea marks zimediverge sana lazima uhojiwe kama huna conflict of interest
 
Habari zenu wakuu, nlkua naomba nisikie mawazo yenu juu ya hili, japo ni nje kidogo ya mada wa uzi huu.
Nipo nafanya kazi na kampuni moja ivi, lkn bado naendelea pia kutafuta na sehem zingine ili kupata atleast sehemu nzuri zaidi.
Nikabahatika kuitwa na kampuni ingne for interview, nikaenda nikafanya, na wakanipigia tena simu kesho yake kuwa nimepata kazi na niende kwa ajili ya taratibu zingne.
Ikabidi niombe ruhusa oficin ya dharula niende, nilivyofika waliniambia vitu ambavyo itanibid nivipeleke kwa ajili ya kuopen file na moja ya ivyo vitu ni barua ya kuacha kazi sehem ambayo nipo sasa ivi. Nikaomba atleast wanionyeshe mkataba nione salary yao ikoje ila waligoma kabisa, nilijaribu kila mbinu atleast niweze kujua mshahara wao ukoje ikashindikana, na hawataki kunionyesha mkataba mpaka nipeleke ivyo vitu plus iyo barua ya kuacha kazi. Na ni kampuni kubwa tu hapa nchini.
Hii imekaaje wakuu?! Maana naogopa kurisk hapa nilipo sasa hivi, then nikafika kule nikakutana na mambo meusi.
Ntashukuru kwa mawazo yenu.
Hawana shida ya mfanyakazi na wangehitaji. Kwel lazma wangekupa hamasa kwa kukuonesha mkataba na mshahara
 
Hahaha, nimeona ili tuheshimiane inabidi tuweke madaraja. Kabla ya mtu kukomenti au kureply kommenti ajue anaongea na wakina nani.

1. Kwa jobless ambaye hajafanya maombi ya kazi, huyo ni JOBLESS DARAJA LA 0

2. Kwa jobless ambaye amefanya maombi ya kazi na akaitwa usaili wa kuandika ila hajapita kwenda usaili wa mahojiano, huyo ni JOBLESS DARAJA LA III

3. Kwa jobless ambaye amefanya maombi ya kazi na akaitwa usaili wa kuandika na akapita kwenda usaili wa mahojiano ila anasubiri placements, huyo ni JOBLESS DARAJA LA II Mwifwa

4. Kwa jobless ambaye amefanya maombi ya kazi na akaitwa usaili wa kuandika na akapita kwenda usaili wa mahojiano huko nako akapita ila ameambiwa asubiri kwanza mpaka ajulishwe tarehe ya kuripoti, huyo ni JOBLESS DARAJA LA I meck pro

MUHIMU
Ujobless na daraja husika vitakuwa vikikomaa au kuporomoka kulingana na muda. Kwa mfano

JOBLESS DARAJA la pili ambao ni wakongwe sana wataanza na A, B, C, D (kama plate number za magari)

Jobless akiitwa Oral na placement zikatoka hayupo na hana placement wala Written anayosikilizia, automatically anaporomoka mpaka kwenye daraja la 0.
Kiongozi unafaa kabsa kuwa PSRS ili mtukande na mkimaliza kutukanda unatupa kabsa haya madaraja ya ujobless
 
Hahaha, nimeona ili tuheshimiane inabidi tuweke madaraja. Kabla ya mtu kukomenti au kureply kommenti ajue anaongea na wakina nani.

1. Kwa jobless ambaye hajafanya maombi ya kazi, huyo ni JOBLESS DARAJA LA 0

2. Kwa jobless ambaye amefanya maombi ya kazi na akaitwa usaili wa kuandika ila hajapita kwenda usaili wa mahojiano, huyo ni JOBLESS DARAJA LA III

3. Kwa jobless ambaye amefanya maombi ya kazi na akaitwa usaili wa kuandika na akapita kwenda usaili wa mahojiano ila anasubiri placements, huyo ni JOBLESS DARAJA LA II Mwifwa

4. Kwa jobless ambaye amefanya maombi ya kazi na akaitwa usaili wa kuandika na akapita kwenda usaili wa mahojiano huko nako akapita ila ameambiwa asubiri kwanza mpaka ajulishwe tarehe ya kuripoti, huyo ni JOBLESS DARAJA LA I meck pro

MUHIMU
Ujobless na daraja husika vitakuwa vikikomaa au kuporomoka kulingana na muda. Kwa mfano

JOBLESS DARAJA la pili ambao ni wakongwe sana wataanza na A, B, C, D (kama plate number za magari)

Jobless akiitwa Oral na placement zikatoka hayupo na hana placement wala Written anayosikilizia, automatically anaporomoka mpaka kwenye daraja la 0.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Interesting.....

Iwepo category ya Jobless aliyeingia oral zaidi ya mara moja na anaendelea kusubiri Placements(Prok ), Jobless ambaye yupo kanzidata ingawa kujua kama yupo ni vigumu, Jobless ambaye anareceived kwa mara ya kwanza na akiwa bado haijaitwa written
 
[emoji3516]
Imajini Lejendari wa UMAJOTA (UMOJA WA MAJOBLESS TANZANIA) umeitwa zako Interview,
Mmepiga "Oro" mtu 5, nafasi 2.

Umerudi zako kitaa kusikilizia placement,
Miezi miwili imekata hakuna placement,
Ghafla tu unakuja kuona ile post mnayoisubiria wamei_readvertise nafasi 1.
Ina maana hapo kuna mmoja amepatikana, ila placement haijatoka!!!

Ni mwendo wa kudufuliwa Ndoige za mbavu tu aisee!!!
Hahahahaa, unawekuta huyo mmoja kashaitwa kwa simu
 
Back
Top Bottom