Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sasa ukiomba hizo zote ni dhahiri ukichaguliwa utaenda, sasa inabidi upangiwe placement
Hapana mkuu, zote utakuwa umefaulu ila jukumu la kuchagua taasisi ni lako mhusika na sio PSPRS.

Hizi issue huwa zinatokea sana tu utakuta mtu amefanya Oral kama 3 hv na zote kafanya vizuri. Ni yeye ndio atachagua aende wp.
 
Naweza nikafumba macho kama Sina Hela miaka miwili then navuta chuma ya maana watu waanze kuniita freemason mziki umetulia nikifika mtaani nafungua milango nachaa nyimbo ya darasa maisha na mziki naenda kulala [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

NB:SEMA MADEMU walionikataa kudadeki zao hata hawanijibu sms zangu wasap wananiblue tick tu mamamee na mie siwaambii kama nishakula asali hapa nasubri tu nianze kuvuta mpunga nikope Hela benki[emoji1787](nitalipa maana sidaiwi na Helsb mie so fresh tu) then ninunie Subaru au crown [emoji146] hapa then nipost status mamaeeee
Hahahahahaha!Hasira mingi...
 
Back
Top Bottom