Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Selected for null green
Duuuh, mambo ya app siyaelewi kwa kweli[emoji23]. Ngoja nitulie. Imagine nmemuuliza my friend hizi interview tulizofanya juzi naot na mda ye kaandikiwa selected for null, na mimi nmeandikiwa not selected for null zote mbili except ya land officer, akanambia hizi za juzi umekosa Mungu wangu, na hiyo ya Land ulipata ila hukuona jina na barua hukwenda kuchukua wakapewa watu wengine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nmeamua tu nicheke. Tangu leo sifatilii status. Sio kwa nlivyovunjwa moyo na rafiki yangu. Ila kwa oral zile lolote litakalotokea ni heri
 
Duuuh, mambo ya app siyaelewi kwa kweli[emoji23]. Ngoja nitulie. Imagine nmemuuliza my friend hizi interview tulizofanya juzi naot na mda ye kaandikiwa selected for null, na mimi nmeandikiwa not selected for null zote mbili except ya land officer, akanambia hizi za juzi umekosa Mungu wangu, na hiyo ya Land ulipata ila hukuona jina na barua hukwenda kuchukua wakapewa watu wengine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nmeamua tu nicheke. Tangu leo sifatilii status. Sio kwa nlivyovunjwa moyo na rafiki yangu. Ila kwa oral zile lolote litakalotokea ni heri
Ebu eleza vizuri dada.

Yani amekwambia NAOT na MDA umekosa (mana status iko NOT SELECTED) lakini ya LAND OFFICER umepata mana STATUS inasoma SELECTED FOR NULL,

Na hukwenda kuchukua barua ya post gani tena.

Au sio wewe ni yeye???
 
Duuuh, mambo ya app siyaelewi kwa kweli[emoji23]. Ngoja nitulie. Imagine nmemuuliza my friend hizi interview tulizofanya juzi naot na mda ye kaandikiwa selected for null, na mimi nmeandikiwa not selected for null zote mbili except ya land officer, akanambia hizi za juzi umekosa Mungu wangu, na hiyo ya Land ulipata ila hukuona jina na barua hukwenda kuchukua wakapewa watu wengine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nmeamua tu nicheke. Tangu leo sifatilii status. Sio kwa nlivyovunjwa moyo na rafiki yangu. Ila kwa oral zile lolote litakalotokea ni heri
Ss hukuenda kuchukua barua kivipi na plecement haijatoka
 
Duuuh, mambo ya app siyaelewi kwa kweli[emoji23]. Ngoja nitulie. Imagine nmemuuliza my friend hizi interview tulizofanya juzi naot na mda ye kaandikiwa selected for null, na mimi nmeandikiwa not selected for null zote mbili except ya land officer, akanambia hizi za juzi umekosa Mungu wangu, na hiyo ya Land ulipata ila hukuona jina na barua hukwenda kuchukua wakapewa watu wengine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nmeamua tu nicheke. Tangu leo sifatilii status. Sio kwa nlivyovunjwa moyo na rafiki yangu. Ila kwa oral zile lolote litakalotokea ni heri
Status achana nazo zitakuumiza kichwa bure, we jiandae na saili nyingine kama unazo.

Msema kwel ni pdf tu, Humu kuna watu wamepata kazi wameandikiwa SELECTED FOR null, na wengine pia wamekosa na ajabu wameandikiwa hivyo hivyo.
 
Ebu eleza vizuri dada.

Yani amekwambia NAOT na MDA umekosa (mana status iko NOT SELECTED) lakini ya LAND OFFICER umepata mana STATUS inasoma SELECTED FOR NULL,

Na hukwenda kuchukua barua ya post gani tena.

Au sio wewe ni yeye???
Huyo ni mwenzangu tu tulifanya wote oral. Ndo kaona anijibu hivyo. Hiyo Land Officer ata placement hazijawahi toka
 
Status achana nazo zitakuumiza kichwa bure, we jiandae na saili nyingine kama unazo.

Msema kwel ni pdf tu, Humu kuna watu wamepata kazi wameandikiwa SELECTED FOR null, na wengine pia wamekosa na ajabu wameandikiwa hivyo hivyo.
Sijawahi fatilia, ni vile tu leo kuna mtu kaniomba niinstall app ndo nkakutana na maajabu hayo[emoji23]
 
Mbna ni kama hyo SELECTED FOR null (green) kila aliepiga oral ameandikiwa hvyo?.

Kuna mdau humu nafikiri ni abeche amesema amepigwa chini na status ipo hvyo.

Hizi status ni kuachana nazo tu, zitakuumiza kichwa waego.
Sio kila mtu kaandikiwa selected for null ila pengine post inataka mtu 1 halafu mumepita 5 nahisi ndo inaandika selected for null halafu wanamchagua mmoja pengine unakua kanzidata mawazo yangu
 
Sijakuelewa hapa kaka. Mie cheti cha form 4, form 6 na chuo vyote ni majina mawili tu hakuna initial wala nini katikati yaani linasomeka JANUARY YUSUPH. Ila Nida na cheti cha kuzaliwa majina matatu yaani JANUARY YUSUPH MAKAMBA. lakini sijawai zuiwa hata mara moja iwe oral au written
Ni sahihi hujanielewa. Ila maelezo yako ni sahihi hata mimi vyeti vya shule, chuo, usajili vyote vina majina 2 ila cha kuzaliwa na NIDA ni majina 3. Na sijawahi kusumbuliwa popote.

Sasa maelezo yangu yalikuwa hivi nilipokuwa namhoji huyo jamaa:

Yeye amedai kuwa cheti cha chuo kinasomeka hivi: SAMIA SULUHU HANGAYA. Ambapo ni sawa na NIDA na kuzaliwa.

Halafu vyeti vya shule(form 4 na 6) vinasomeka hivi: SAMIA S HANGAYA, je umeona utofauti?

Sasa mimi nikahoji hivi:

Ukiwa unafanyiwa Admission chuo huwa wanatumia vyeti vya shule form 4 na 6(hapa mara nyingi wanatumia namba ya mtihani maana vyeti vinakuwa bado havijakamilika), kwa mantiki hiyo jina kwenye cheti cha chuo lazima lifanane na la kwenye vyeti vya shule(form 4 na 6).

Sasa huyo jamaa, vyeti vya shule na chuo vina utofauti wa majina kama nilivyotolea mfano hapo juu.

Ndio nikahoji kuwa, ilikuwaje chuo watumie jina la NIDA na kuzaliwa badala la kwenye vyeti vya shule ambapo taarifa zake zipo NECTA maana ukisearch namba ya mtihani inakuletea jina kamili.

Sijui umenielewa?
 
No sikupigiwa na placement hazijawahi toka. Na kuhusu hiyo interview nlishagakubaliana na hali. Inshort no time for losing hope[emoji23]. Nitulie nijisomee TRA
Dada unanikatisha tamaa aisee.sasa kama simu + tangazo hamna tutaishije..

Mimi nina SELECTED FOR NULL zangu mbili nazisikilizia sasa kama zaweza kuja bila taarifa bora nimkumbatie mkaburu tu.

Au ndo za KAMLETE???
 
Niliwahi ona case humu nahofia tarehe 17 wakanizingua na mimi

Jina cheti 4 na 6 liwe labda Punje Haradari

Jina la kitambulisho cha mpiga kura na kwenye address zote za utumishi liwe Punje Haradari Mkandwaji

Kwenye cheti cha kuzaliwa Punje Haradari

Na kwenye majina ya mzazi kwenye cheti cha kuzaliwa ni Haradari Uredi ( Mkandwaji halipo)
Hapo kwenye jina mzazi ndipo penye kigingi.

Haradati Mkandwaji na Haradati Uredi ni watu 2 tofauti.

Tafuta kiapo cha kuelezea huo utofauti
 
Back
Top Bottom