Kalikenye_91
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 217
- 589
Nashukuru kwa kulifahamu hilo mnafanana uandishi,Sio mwandiko kaka aina ya uandish wa maneno, sio mimi tu ana fanana adi na ww jinsi anavo andika maneno yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru kwa kulifahamu hilo mnafanana uandishi,Sio mwandiko kaka aina ya uandish wa maneno, sio mimi tu ana fanana adi na ww jinsi anavo andika maneno yake.
Hata na ww pia mnafanana, ni jambo la kushukuru unaweza itwa wizy sio mda.Nashukuru kwa kulifahamu hilo mnafanana uandishi,
Kwa upande wa taasisi uwa inakubali sema changamoto uwa Interview zinapangwa muda mmoja, hivyo itakulazimu kuchagua. Hii niliishudia ASAKwa ninavyofahamu mimi,
Kama uta attarch hivyo vyeti kwenye Account yako ya PSRS/ Ajira portal utapewa access ya kuweza kuapply ajira zote kulingana na hizo degree zako za taaluma tofauti.
Lakini, mfano ulianza na diploma ya degree fulani, mfano ya Journalism then ukafanikiwa kupata degree ya Journalism. Hapo cheti utakachoambatanisha kweny account ndio kitakupa access ya kuomba kazi.
Ukiambatanisha diploma ya Journalism, tambua kua nafasi za degree hazitakuhusu, na ukiweka cha degree tambua kuwa nafasi za diploma ndio bye bye. Hii wameweka ili kuzuia watu kuomba multiple posts.
Pia, hata kwa taasisis moja huwezi omba kazi kwa post zaidi ya moja hata kama zote sifa unazo. Mfano kwa TRA , Tax mgt Officers II na Customs Mgt Officers II vigezo vinafanana ila ukiomba zote nafasi moja inakuwa pending.
Pole sana mkuuNyie kukandwa kubaya sana hasa kwa taasisi ambayo ulikuwa ukiikubali muda sana, mwenzenu Tangia nimekandwa na TRA najiona sipo sawa kabisa. Hii ni seriously guys.
Kidogo humu nikipitia comment kiasi najipa moyo, ila nikitulia mwenyewe napata shida sanaNyie kukandwa kubaya sana hasa kwa taasisi ambayo ulikuwa ukiikubali muda sana, mwenzenu Tangia nimekandwa na TRA najiona sipo sawa kabisa. Hii ni seriously guys.
Asante mkuuPole sana mkuu
Pole sana mkuu fanya subra ndo changamoto za utafutaji sio ww pekee uliekandwa watu 800+ wamekandwa kikubwa kuendlea kupambana kila mmoja ana wakati wakeNyie kukandwa kubaya sana hasa kwa taasisi ambayo ulikuwa ukiikubali muda sana, mwenzenu Tangia nimekandwa na TRA najiona sipo sawa kabisa. Hii ni seriously guys.
Nashukuru mkuu, najitahidi sana kupotezea ila from no where hii hali inanijiaPole sana mkuu fanya subra ndo changamoto za utafutaji sio ww pekee uliekandwa watu 800+ wamekandwa kikubwa kuendlea kupambana kila mmoja ana wakati wake
Mim pia nilikandwa hiyo TRA nilipata stress kubwa maana nilikua na matumaini this time i may pass to oral but mambo hayakua hivyo...nishapiga moyo konde n now am focusing forward...na hapa naanza msuli wa tpdc mdgo mdgoKidogo humu nikipitia comment kiasi najipa moyo, ila nikitulia mwenyewe napata shida sana
Mkuu ulikuwa na Multiple interview nn pale ASA😁😁Kwa upande wa taasisi uwa inakubali sema changamoto uwa Interview zinapangwa muda mmoja, hivyo itakulazimu kuchagua. Hii niliishudia ASA
I know ukizngatia nafasi ni nying zile hasa kwa kada y ict kujirdia nafasi nyingi vile sio leo but kikubwa ni kutumaini na kua na imani maisha yaendleeNashukuru mkuu, najitahidi sana kupotezea ila from no where hii hali inanijia
Hapana Si mimi, ila niliishudia, watu wakifanya tena walipata bahati before ratiba ilikuwa imegongana lakini ilikuwa kuchange wakafanya accounts mchanaMkuu ulikuwa na Multiple interview nn pale ASA😁😁
Yaaah hyo inatokeaga kutokana na ufinyu wa venue Ila changamoto kubwa inakuja upande wa Oral kama ulifanikiwa zoteHapana Si mimi, ila niliishudia, watu wakifanya tena walipata bahati before ratiba ilikuwa imegongana lakini ilikuwa kuchange wakafanya accounts mchana
Me nilikuwaHapana Si mimi, ila niliishudia, watu wakifanya tena walipata bahati before ratiba ilikuwa imegongana lakini ilikuwa kuchange wakafanya accounts mchana
Umejuaje ni ICT mkuu, yaani ni kiwaza hizi nafasi ndo nazidi kuumiaI know ukizngatia nafasi ni nying zile hasa kwa kada y ict kujirdia nafasi nyingi vile sio leo but kikubwa ni kutumaini na kua na imani maisha yaendlee
Maana mwaka juzi tulikaa mwaka mzima ikaja interview moja tu ya NEC pia nafasi ni moja.Me nilikuwa
Umejuaje ni ICT mkuu, yaani ni kiwaza hizi nafasi ndo nazidi kuumia
Nyie kukandwa kubaya sana hasa kwa taasisi ambayo ulikuwa ukiikubali muda sana, mwenzenu Tangia nimekandwa na TRA najiona sipo sawa kabisa. Hii ni seriously guys.
Ukifaulu zote kwenda oral unafabya wanaruhusu, kikubwa utoe taarifa mapema .....Wanakupa kipaumbele sehemu moja kisha ukimaliza unaenda kusubiri kwngine, hii nimeona kbs,Yaaah hyo inatokeaga kutokana na ufinyu wa venue Ila changamoto kubwa inakuja upande wa Oral kama ulifanikiwa zote
Pole sana, Mungu atusaidie hakikaUpo sahihi, haswa ukiwa hujui ulipokosea ni wapi.
Nilikandwa TPA, ikafuata TASAC.. na zote nilifika oral. Yaan saivi nikiona hata logo za hizo taasisi nawamaind kichizi
Mungu atusaidie