Kwa kweli[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunajaribu tuu kujifunza ili ikitokea wakati mwingine tusichemke tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunajaribu tuu kujifunza ili ikitokea wakati mwingine tusichemke tena
Kwenye hili kaka nimepata, mengine ndo yataniangushaTuufunge huu mjadala, nimetoa maelezo hapo juu kwa kina. UMEPATA, UMEPATA, UMEPATA.
Nipo kujifunza kwahiyo I will take my time to educate my self Mkuu.Sidhani kama uko sahihi mkuu ingawa mimi sio expert wa uhasibu.
Labda nikuulize,what if swali lingekutaka uandike elements za income statement au elements of financial position,ungeandika zipi?
Me nadhani huyo jamaa yuko sahihi kabisa.
Angalia usije ukawa surprised matokeo yakitoka mkuu.majibu ya hilo swali sio hayo unayoyalazimishia.Kwenye hili kaka nimepata, mengine ndo yataniangusha
Tumefunga mjadala
Mkuu tatizo unaniambia majibu yako unayotoa kichwani bila referenceAngalia usije ukawa surprised matokeo yakitoka mkuu.majibu ya hilo swali sio hayo unayoyalazimishia.
Hyo pepa ya Accounts mbona nyeupe hvo wana lengo gani hao jamaaMkuu tatizo unaniambia majibu yako unayotoa kichwani bila reference
Mimi nimekuletea reference pdf ya NBAA, IFAC.. Unless wewe ndo uliziandika hizo pdf na unakili kwamba uliandika kimakosa
Kua surprised siwezi, maana nimefanya interview nyingi ambazo sikufanikiwa na hata hizi ni marks 25 ambazo naweza kupata then nikakosa maswali mengine
Nyeupe kwa mtu aliyesoma na kuelewa vema accounting, wale wa zima moto ngoma ngumu hapo. Ngumu mnoo.Hyo pepa ya Accounts mbona nyeupe hvo wana lengo gani hao jamaa
ElementsAcha matango pori mzee baba. INCOME STATEMENT iko na only 3 elements
1. REVENUE/INCOME
2. EXPENSES
3. PROFIT/LOSS
Tunaambiwa eti sio hizoElements
Income
Expenses
Liability
Assets
Equity
Ka hujajaza hvo umekwisha
Sawa wasahihishaji wanajua ni zipi kulingana na marking scheme yao.Tunaambiwa eti sio hizo
Ebu pitia hiyo document mkuu,then utajua which is which.Mkuu tatizo unaniambia majibu yako unayotoa kichwani bila reference
Mimi nimekuletea reference pdf ya NBAA, IFAC.. Unless wewe ndo uliziandika hizo pdf na unakili kwamba uliandika kimakosa
Kua surprised siwezi, maana nimefanya interview nyingi ambazo sikufanikiwa na hata hizi ni marks 25 ambazo naweza kupata then nikakosa maswali mengine
Jiridhishe by passing through this documentElements
Income
Expenses
Liability
Assets
Equity
Ka hujajaza hvo umekwisha
Soma uelewe kwanza, umequote kitu hata hukijui mzee, vp umepata chakula cha mchana lkin?Elements
Income
Expenses
Liability
Assets
Equity
Ka hujajaza hvo umekwisha
Kwenye framework wanansema wazi Cashflow statement haina elements yenyewe kama yenyewe .. Inatumia elements za Income statements. Na ndo maana tunabaki nazo hizi tanoHAPANA hizo ni parts zinazounda elements kuu 5 na haziko 5 zinafika 10+ huko.
1. INCOME STATEMENTS ina pati zake ambazo ni
a. REVENUE/INCOME
b. EXPENSES
c. Profit/Loss
2. BALANCE SHEET iko na vipati vyake ambavyo ni
a.ASSET
b. LIABILITY
c. EQUITY wengine wanaita CAPITAL
3. CASH FLOW iko na vipati vyake
a. Operating activities
b. Investing activities
c. Finance activities
4. CHANGES IN OWNERS EQUITY
a. Increase/decrease in shares
b. Accumulated profit
c. Profit iliyopatikana kama dividend
5. NOTES
a. Accounting policies zinazotumika au zilizotimika katika uandaaji wa hizo FS.
Mzee UMEKOSA usijipe matumaini kabisa.Kwenye hili kaka nimepata, mengine ndo yataniangusha
Tumefunga mjadala
Hizo nilizokupa ndio ukweli huo. Umetaka huo ndio ukweli, hutaki huo ndio ukweli.Kwenye framework wanansema wazi Cashflow statement haina elements yenyewe kama yenyewe .. Inatumia elements za Income statements. Na ndo maana tunabaki nazo hizi tano
Equity, Income, Liability, Expense na Assets
Hii ameituma Perry hapa View attachment 2482118
Uzuri mimi nikisema naleta referenceMzee UMEKOSA usijipe matumaini kabisa.
Sasa wewe ni nani unipe?Hizo nilizokupa ndio ukweli huo. Umetaka huo ndio ukweli, hutaki huo ndio ukweli.
Babuu elements ni hzo income, expenses, assets na liabilityHizo nilizokupa ndio ukweli huo. Umetaka huo ndio ukweli, hutaki huo ndio ukweli.