Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Trade officer ii
1. Liquor law license restrictions
2.Advantages of Selling on Credit
3.Factor to consider before price of produce
4. Short Notes
Production
Utility
Trade
Opportunity cost
Asante kwa ku-share tena, nafikiri haya yaliletwa humu punde tu baada ya wahusikia kutoka katika paper. Umemrahisishia zaidi na kumsaidia huyu aliyeomba tena haya maswali.
 
Mkuu,hivi matokeo yakitoka na hawa unaowapinga humu wakiwa wamefaulu with flying colours, utaficha wapi sura yako ?maana unapinga vitu vilivyo wazi kabisa aisee
Kuna seheme katika uzi huu nimeapa kuwa hawa watashindwa kupita kwenda katika hatua inayofuata kwa kutofautiana huku?, achilia mbali hayo maneno yako ya "flying colourz"?

Narudia tena, mtihani wao ulikua na maswali manne, hapa linajadiliwa swali moja tu, niambiw kwako flying colours ita-range katika marks zipi?
 
Kuna seheme katika uzi huu nimeapa kuwa hawa watashindwa kupita kwenda katika hatua inayofuata kwa kutofautiana huku?, achilia mbali hayo maneno yako ya "flying colourz"?

Narudia tena, mtihani wao ulikua na maswali manne, hapa linajadiliwa swali moja tu, niambiw kwako flying colours ita-range katika marks zipi?
Flying colours with 100% wakiwa wamepata na hilo swali unalolibishia.
 
utaficha wapi sura yako ?maana unapinga vitu vilivyo wazi kabisa aisee
Bro! Humu mitandaoni kuna watu wengi hawapendi kusema ukweli ama kuishi ukweli, mosi.

Pili, Naamini umesoma primary mpaka chuo kwa level yako, hujawahi kutana na watu amba katika kila mtihana wao ni wa kwanza kulalamika wamesau concept kulingana na mtihani ulivokua, matokeo yakitoka ndo hao wanakua na A's au B+'s, hukuwahi jiuliza kwanini inakua hivyo, unafikiri ni kweli paper liliwashika namna hiyo na wao kweli walikua wamesahau concepts na wengine hulalamika kabisa hawajamaliza maswali.

Watu kama hao, pia tupo nao humu. Unapaswa ulitambue hilo.
 
Ubaya/ uzuri hurudi matokeo ya marks za ujumla tu, hakuna analysis ya asilimia ngapi wamepata swali la kwanza au la, vinginevyo uniambie majority kama sio wote wapate 95+%
Mkuu,wewe ni politician mzuri,sijui ilikuaje ukadondokea kwenye uhasibu.
Yani unaona kitu kabisa ni Black but unalazimisha kiwe white.
Nimekuvulia kofia kwa hilo.naomba tuishie hapa.
 
Mkuu,wewe ni politician mzuri,sijui ilikuaje ukadondokea kwenye uhasibu.
Yani unaona kitu kabisa ni Black but unalazimisha kiwe white.
Nimekuvulia kofia kwa hilo.naomba tuishie hapa.
Pole sana kwa kuwa na mtazamo huo, wote tu mashuhuda humu matokeo yanavyopandishwa na utumishi, chukulia mfano hawa wanaopata 50's-60's ambao ndio majority katika hizi course za social science, kuna mtu anaweza akasimama ku-advocate kuwa swali fulani, nilipata lote, swali fulani nilikosa lote?

Nimeishia hapo.
 
Pole sana kwa kuwa na mtazamo huo, wote tu mashuhuda humu matokeo yanavyopandishwa na utumishi, chukulia mfano hawa wanaopata 50's-60's ambao ndio majority katika hizi course za social science, kuna mtu anaweza akasimama ku-advocate kuwa swali fulani, nilipata lote, swali fulani nilikosa lote?

Nimeishia hapo.
Mkuu nazizlewa sana hoja zako,,,,,ila si lazima watu wote watakuelewa humu
 
Elements na components ni vitu viwili tofauti, hata kwenye English havijawahi kuwa na maana moja!!
Acha siasa
Nimeona niwarahisishie kazi ili muendelee kuchuana vizuri
 

Attachments

  • Screenshot_20230118-091835_Translate.jpg
    Screenshot_20230118-091835_Translate.jpg
    42.6 KB · Views: 8
  • Screenshot_20230118-091904_Translate.jpg
    Screenshot_20230118-091904_Translate.jpg
    43.6 KB · Views: 9
Kiswahili ni lugha iliyo na vocabulary ndogo ama chache
Try again
Leta ifrs ama ias🤗
Tuwe watulivu tu kuna PDF itakuja kuamua hili jambo, huwa inabeba watu 5k na zaidi ikiwa imewatenganisha katika makundi mawili kwa maneno ''selected'' na ''not selected''

Sasa hivi tutiane moyo tukisubiri placement, oral na shuhuda za status 😀 😀
 
Ndugu accountants, I believe nyote ni wasomi na waandishi wazuri wa reports za kielimu. Kuna utofauti wa argument ya msomi na asiekua msomi. Vile vile kuna tofauti ya uandishi wa msomi na asiekua msomi.

Mategemeo ya wengi ni kwamba msomi tena aliebarikiwa kufika level ya chuo kikuu, arguments zake za kielimu zitabase kwenye logic na atafanya ku-acknowledge sources za arguments au opinions zake. Hivyo basi, katika profession ya uhasibu nyinyi professionals vipo vitabu kama sources of information, mnavotumia kupata maarifa na miongozo ya field yenu.

Hivyo, Ili kueka discussion iwe ya kisomi zaidi na sio kama ushindani wa nani bingwa. Kwa kua I hope itasaidia na wengine iwe leo ama kesho, basi kila mmoja wenu akitoa jawabu aweke na reference yake anayobase kwayo. Kama unajibu na huna reference, yani unatoa tu answers kwa msingi wa "trust me bro" fahamu kua upo nje ya arguments za kisomi na kuna possibility ya kuwapoteza na wengine kama jibu lako ni la uongo.

Ni matumani yangu nimeeleweka vyema. Haya sasa, kwa ajili ya kuelimishana: questions, answers, & sources of answers (iwe kwa picha au maandishi).
 
Back
Top Bottom