Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mkuu wewe wala haujalazimishwa endelea na utaratibu wako, lakini vitabu vyote vya dini vimeielezea zinaa na wala si uongo kama wewe ni muasherati basi jua unaondoa zile natural gift alizokupa Mungu utajiona kila wakati kama una gundu vile kumbe ulipaswa uchunguze njia zako, ila muhimu kumbuka nadharia hii haulazimishwi kuiamini.
Vijana Tuoe.Ni kweli Zinaa inaleta matatizo sana.Kiuchumi nk ...Hasa hasa Hawa dada zetu wa kizazi Cha Sasa,Usaliti mwingi sana,Leo analala na Huyu Kesho na yule,ilhali wewe ndio mchumba wake,akija kwako analala na wewe Tena,Sasa huko alikotoka hujui kaondoka na Nini,Magundu huwa yanatengenezwa hivyo.Wadada Wasomi tulieni muwapendeni wachumba zenu,msifanye Usaliti,mnawasababishia matatizo wanaume zenu kupitia Ngono.
 
Pia naamini hivyo mkuu,

Utumishi Kwa sasa issue za connection ni ndogo sana, ndio maana wengi wanapata Ajira na kushukuru kuwa hafahamiani na mkubwa yyte toka Serikalini.

Naamini ni suala la muda tu kuingia ktk pia la asali, muhimu ni kuweka jitihada na kuomba sana.
Usimuamini kila mtu anachokwambia ni kweli. Je kama anafahamiana nae atasema mm nimepata coz nafahamiana na mkubwa flani?
Kila mtu hafahamiani na mtu ndomana tunasema kila aliepata kazi ukweli anaujua yeye,mungu wake na muajiri wake. Hizi taasisi kubwa zina urasimu mkubwa sanaa kuliko tunavyofikiria. Wapo wanaopata kihalali bila connection na wapo wanaopata kwa connection.
 
Usimuamini kila mtu anachokwambia ni kweli. Je kama anafahamiana nae atasema mm nimepata coz nafahamiana na mkubwa flani?
Kila mtu hafahamiani na mtu ndomana tunasema kila aliepata kazi ukweli anaujua yeye,mungu wake na muajiri wake. Hizi taasisi kubwa zina urasimu mkubwa sanaa kuliko tunavyofikiria. Wapo wanaopata kihalali bila connection na wapo wanaopata kwa connection.
Katika kitu kigumu Utumishi ni kubebwa written,hata uwe unafahamiana na nani,pambana Written kwenda Oral.Watu wengi wanaojitolea kwenye Taasisi za serikali wamekosa kazi hata kama Taasisi Yao ilitanganza,hii ni kutokana na kufeli Written,Ukienda Oral angalau utakutana na wafanyakazi wa hiyo Taasisi yako,Hapo uungwana na Fair inakuwepo kidogo.


Kikubwa Soma Soma na muombe sana Mungu ufaulu Written.
 
Vijana Tuoe.Ni kweli Zinaa inaleta matatizo sana.Kiuchumi nk ...Hasa hasa Hawa dada zetu wa kizazi Cha Sasa,Usaliti mwingi sana,Leo analala na Huyu Kesho na yule,ilhali wewe ndio mchumba wake,akija kwako analala na wewe Tena,Sasa huko alikotoka hujui kaondoka na Nini,Magundu huwa yanatengenezwa hivyo.Wadada Wasomi tulieni muwapendeni wachumba zenu,msifanye Usaliti,mnawasababishia matatizo wanaume zenu kupitia Ngono.
Ni imani yako tu mkuu, usitetereke kwa kile unachokiamini,

Believe unatoboa hata akileta sijui gundu it won't. prosper in jesus Almighty name amen

Uwe na usikumwema.
 
Usimuamini kila mtu anachokwambia ni kweli. Je kama anafahamiana nae atasema mm nimepata coz nafahamiana na mkubwa flani?
Kila mtu hafahamiani na mtu ndomana tunasema kila aliepata kazi ukweli anaujua yeye,mungu wake na muajiri wake. Hizi taasisi kubwa zina urasimu mkubwa sanaa kuliko tunavyofikiria. Wapo wanaopata kihalali bila connection na wapo wanaopata kwa connection.
yote ni majibu but cha msingi simama wewe kama wewe pambana muombe mungu ,binafsi nawajua watu wengi wamepata kazi bila connection 100% kama wakat ni wako hata bila connection unapata na unaweza kuwa na connection pia kama mungu hajaibariki nafasi kuwa yko lolote linaweza tokea
 
Katika kitu kigumu Utumishi ni kubebwa written,hata uwe unafahamiana na nani,pambana Written kwenda Oral.Watu wengi wanaojitolea kwenye Taasisi za serikali wamekosa kazi hata kama Taasisi Yao ilitanganza,hii ni kutokana na kufeli Written,Ukienda Oral angalau utakutana na wafanyakazi wa hiyo Taasisi yako,Hapo uungwana na Fair inakuwepo kidogo.


Kikubwa Soma Soma na muombe sana Mungu ufaulu Written.
sahili zenye practicals ndio kuna kubebana sana, wanaosaili usaili wa vitendo ni watu wa taasisi husika, pale kama mtu anamjua msailiwa anampa tu maksi mingi na kumbeba.
kwenye written naamin ndo hakuna kubebana ila practicals na oral baadhi ya taasisi zina beba watu wao .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yote ni majibu but cha msingi simama wewe kama wewe pambana muombe mungu ,binafsi nawajua watu wengi wamepata kazi bila connection 100% kama wakat ni wako hata bila connection unapata na unaweza kuwa na connection pia kama mungu hajaibariki nafasi kuwa yko lolote linaweza tokea
Umemaliza kila kitu.Na kazi anayokupa Mungu ndio inakuwa na Furaha sana na amani,na utaifanya kwa Bidii na ufanisi Mkubwa....
Tuwe na subira kusubiri Kusudi la Mungu.
 
Habari zenu wapambanaji wenzangu,mabibi na mabwana.Kwa wale mliobahatika kazi kupitia placement ya Jana,Hongereni sana nyote.Na kwa wale ambao hamkubahatika,tujue Wakati Bado, Mapambano yaendelee,Mungu wetu ni mwema sana......
Wale wenzangu na Mimi wa Kusubiri Placement, November, December,Nasi tuendelee kumuomba Mungu tukisubiri PDF,kama tutabahatika au Bado tutaendelea kusubiri.Uzuri tupo nao humu ndani
Sekretarieti ya Ajira na walituahidi Jana ya kuwa tuendelee kutembelea www.ajira.go.tz kwa ajili ya kutizama placements,kwani mwezi huu zitashushwa za kutosha, November na December mambo yatakuwa mazuri kwa waliofanya Oral....
Wale wa MDAs na LGAs nadhani muendelee kuvuta subira,matokeo Yenu yakiwa tayari mtaachiwa tu.Kikubwa ni kuombea kuwa kwenye mstari wa' SELECTED'...
Nawatakia weekend Njema nyote.
Mapambano yaendelee
Mungu wetu ni mwema sana.
Imenitia nguvu sana hii.
 
sahili zenye practicals ndio kuna kubebana sana, wanaosaili usaili wa vitendo ni watu wa taasisi husika, pale kama mtu anamjua msailiwa anampa tu maksi mingi na kumbeba.
kwenye written naamin ndo hakuna kubebana ila practicals na oral baadhi ya taasisi zina beba watu wao .

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushawahi kufanya practical mkuu?
 
Habari wana jukwaa. Poleni kwa wale muliokosa nafasi za ajira. Kumbukeni, wakati wa MwenyeziMungu ni wakati sahihi na hujui ni shari ipi umeepushiwa nayo na wala hufahamu ni kheri ipi umeandaliwa baada ya kukosa nafasi hiyo ya kazi uliokosa.

Vilevile , kongole kwa wale muliopata ajira zenu za halali. Mkawe watumishi wema mliojaa uzalendo, watumikie watu kama ambavyo wewe ungependelea kutumikiwa, musiwe miungu watu kutaka kunyenyekewa pasi na sababu za msingi, hongereni sana. Mola awape kheri huko muendako.

Mbali na hayo, kama unahofu ya identity yako kua revealed ukituma maoni kwenda utumishi kwa njia ya email, Ig au Fb. Basi ni vyema tuutumie uzi huu waliouanzisha wao wenyewe (link ipo chini, paragraph inayofuata) pale inapotakiwa kutoa maoni juu ya uendeshaji na utendaji wa shughuli za Sekretarieti ya Ajira. Ni rahisi kwao kuusoma na naimani watafanyia kazi maoni hayo.


Tukumbuke yakua, Kukata tamaa ni mwiko. Wish you all the best.
 
Usimuamini kila mtu anachokwambia ni kweli. Je kama anafahamiana nae atasema mm nimepata coz nafahamiana na mkubwa flani?
Kila mtu hafahamiani na mtu ndomana tunasema kila aliepata kazi ukweli anaujua yeye,mungu wake na muajiri wake. Hizi taasisi kubwa zina urasimu mkubwa sanaa kuliko tunavyofikiria. Wapo wanaopata kihalali bila connection na wapo wanaopata kwa connection.
Huo ndio ukweriii
 
Katika kitu kigumu Utumishi ni kubebwa written,hata uwe unafahamiana na nani,pambana Written kwenda Oral.Watu wengi wanaojitolea kwenye Taasisi za serikali wamekosa kazi hata kama Taasisi Yao ilitanganza,hii ni kutokana na kufeli Written,Ukienda Oral angalau utakutana na wafanyakazi wa hiyo Taasisi yako,Hapo uungwana na Fair inakuwepo kidogo.


Kikubwa Soma Soma na muombe sana Mungu ufaulu Written.
Sasa hiyo itakuwa connection gan ,kama hukupewa pepa , Sema tukubali TU, connection zipo, Sema zinafanyika kwa usiri mkubwa sana ,
 
Ndugu zangu nimeona Marekani kupitia ubarozini ukurasa wa facebook wametoa fursa kwa waalim wa kiswahili pitieni kwenye page yao ya facebook kuna link mjaribu bahati
Screenshot_20230205-082131.jpg
 
Back
Top Bottom