Don Vill
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 2,249
- 5,674
Halafu naona hii ndio itakuwa trend kuanzia sasa ,hii ya taasisi kuajiri wenyewe , na jinsi walivyo wanafiki . Institutions nyingi zenye mishahara minono na marupurupu ndio walikuwa wanajivuta kutangaza kazi muda wote huo ,wakati ambao Halmashauri na Tamisemi wanatangaza kazi kila siku ,kama sio makusudi ni nini hiyo ?