Na ndivyo imekuwa!! Ulisema ni suala la muda tu na ndivyo imekuwa!! Vijana mna mengi ya kujifunza kwa kijana mwenzenu mfwende sawadogo!! Ameonesha imani na uvumilivu wa hali ya juu kwa kipindi kirefu sana!! Alioanza nao kufukuzia ajira wengi walilamba asali akawa anajiona kama kabaki peke yake lakini hakukata tamaa!! Vijana msikate tamaa!! Kukata tamaa hakujawahi kumsaidia mtu yeyote!!
Nawatia moyo wale ambao hawajawahi kutoboa oral nao wasikate tamaa!! Namfahamu kijana aliyepambana kutoka kupata marks za namba ya kiatu written interview, lakini baadaye alipenya oral na tunapozungumza ana miezi kadhaa kwenye pay roll ya serikali.