Lupe Tz
JF-Expert Member
- Aug 7, 2021
- 259
- 910
Hakuna hawaoneshi kituHivi wadau ukipata placement kwenye app huwa inaonyesha sehemu uliyopata kazi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna hawaoneshi kituHivi wadau ukipata placement kwenye app huwa inaonyesha sehemu uliyopata kazi ?
Wangekuwa wanaweka ,kwenye app ya zamani hii feature ipo ,sasa sijui waliweka kama pambo ?Hakuna hawaoneshi kitu
Tatizo Migongo kaka,migongo na viuno vinakufa.Hongera Sana mkuu, itabidi unielekeze nikabebe hayo magogo instead,[emoji17]huku nasubiri placement
inabaki vilevile mkuu. Hakuna mabadilikoWadau mliopata Placement na wakongwe wengine akina @Mwifa mfwende sawadogo Stelingi @Placement tupeni majibu hapa
Okay shukran ,sijui hiyo sehemu IT waliiweka ya nini always ni no placement foundHakuna hawaoneshi kitu
Labda wataanza kuweka kweny apps Yao hii mpyaOkay shukran ,sijui hiyo sehemu IT waliiweka ya nini always ni no placement found
Hapana, haioneshiHivi wadau ukipata placement kwenye app huwa inaonyesha sehemu uliyopata kazi ?
Mihogo na huku ipo, ila wewe wa halmashauri uwezi igusa, gharama yake, wewe ni bajeti ya wiki nzimaHaah...yaani miogo roho inakata ukisikiliza wenzako wako BOT,TPDC sidhani kama kuna miogo kule.
Ila kitaa nacho cha moto.
Ofisi kama hiyo ukinunua wali wanasema unadharau
Hii shida itakuwa kwao, hata mimi nimekutana nayo nilikuwa nareset jamaa yangu alisahau password nae ila hakuna kinachotumwa kwenye email, ila kwenye notification wanakwambia link imetumwa kwenye email yakoReset kwa kutumia email address yako ambayo ulitumia 2019
Hiyo app mpya inaptakna wapi?mbn playstore haipo?Lbd
Labda wataanza kuweka kweny apps Yao hii mpya
Hiyo app mpya inaptakna wapi?mbn playstore haipo?
Mmh sidhani kama ni official app ya psrs mkuu
Ukiifungua iko kama unavyologin kwenye webMmh sidhani kama ni official app ya psrs mkuu
Ya mwanzo wameifuta ikawekwa iyo nadhani ni sahihiMmh sidhani kama ni official app ya psrs mkuu
Ngoja wadau waje watujuze zaidi mkuuMmh sidhani kama ni official app ya psrs mkuu
halmashauriiHivi ukifika Kureport ukakuta HR na staff wanakula mihogo na chai ya rangi inakuwa ina maanisha nini?
mkuu nakuhitaji sana pm kwanguHapo njaa Kali. Hakuna asiyependa mtori au supu ya utumbo ya moto na chapati kadhaa. Wewe ripoti anza kazi lakini notes zako zilizokufikisha hapo usitupe. Endelea kuongeza received
hapana haioneshi mkuuWadau mliopata Placement na wakongwe wengine akina @Mwifa mfwende sawadogo Stelingi @Placement tupeni majibu hapa
Unaangalia pdf ukiwa na imani kuwa utakuta jina lako af mwisho hulioni,kila pdf unaambulia patupu...jaman hii kitu inauma asikwambie mtu aisee,...
But Mungu ni mwema n wakat sahihi ni wakati wa Mwenyez Mungu..nitatoa ushuhuda wa kulamba asali nami hapa inshalla....
Hongera kwa wote mliolamba asali pdf la leo