Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hakuna hawaoneshi kitu
Wangekuwa wanaweka ,kwenye app ya zamani hii feature ipo ,sasa sijui waliweka kama pambo ?
Screenshot_20231015-203208.jpg
 
Jamaa wamenitesa sana. Nilikuwa sina access ya kuingia kwenye huu uzi kwa muda mrefu bila sababu ya msingi.

Sijui JF imeanzisha utaratibu wa kuban mtu asiweze kuingia kwenye uzi fulani. Hata hivyo hakuna kosa ninalokumbuka nilifanya.

Endapo ni tatizo la kimfumo, uongozi unajukumu kubwa sana la kufanya maboresho, hii ni aibu.
 
Unaangalia pdf ukiwa na imani kuwa utakuta jina lako af mwisho hulioni,kila pdf unaambulia patupu...jaman hii kitu inauma asikwambie mtu aisee,...
But Mungu ni mwema n wakat sahihi ni wakati wa Mwenyez Mungu..nitatoa ushuhuda wa kulamba asali nami hapa inshalla....
Hongera kwa wote mliolamba asali pdf la leo

Ndugu yangu hongera sana. Yani unafika mpaka oral! Wewe siku yako ya kutoka kimasomaso iko karibu kupita maelezo.

Wengine tunaowapambania wachomoke hawajawahi kufika oral na hata matangazo ya nafasi zao za kazi ni adimu kuyaona miaka nenda rudi.

Hongera tena!
 
Back
Top Bottom