Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanza nimshukuru Mungu kwa kupata asali,

Pili, siku naenda kuchukua barua niliambiwa haya haya, ila kwa bahati nzuri nilikuwa nimebeba nguo nyingine maana nilikuwa naunganisha safari ya kwenda kuripoti kabisa kituo cha kazi.

Hivyo nikasogea pembeni kidogo. Nikapiga mchomeko wangu, nikachkua barua. Nikapanda basi, safari kanda ya ziwa.
Ulitisha sana mkuu, kupata taarifa ya eneo unaloenda kabla hujafika waga ni Jambo zuri Sana

Mfano mimi, nimeenda kuripoti fresh ila wakati wa kuandika barua ya kuomba pesa ya kujikimu napeleka masjala naambiwa niambatanishe na tickets ili nayo ilipwe

alafu me tickets zote nimetupa kama kawaida yangu, kwahiyo nikaishia kujilaumu Tu kuwa nimepoteza hela nyingi kisa kutokujua coz hadi kufika eneo la tukio nauli nimetumia 80k
 
Uhuni tu wengine tumfk mara 4 .
Uhuni tu wengine tumfk mara 4 n hamna cha placment wl nn
Don't discourage me bro. Umepiga oral 4, what do u want to tell us about psrs? Ko Usipopata tatizo ni psrs sio wew?
"Stay positive"
though you were not my main target.
Nilitaka kuwa encourage pia ambao hawajawahi fika oral, nilikua kundi ilo juzi tu ko najua how it feels.
 
Wajuvi

Mwombaji ana Bachelor's degree ya HYDROGEOLOGY na ameomba nafasi hiyo.
Majibu ndio haya, hapo shida inaweza kuwa nini?
Na je huwa wanataja shida specific au majibu huja in general kama hivi?
Maana hapo labda shida iwe nyingine, lakini kusema mwombaji ameomba irrelevant post sio kweli.View attachment 2793129
Wapigie uwaeleze wataku add kwenye majina ya nyongeza, nadhani wamechanganya wenyewe tu
 
App yangu ndo imegoma kabisa aise, afu ni kwa hii thread tu ndo imezingua.
Any way imebidi nirudi kutumia website tu atleast nitoe na mimi ka ushuhuda kangu ka kupiga oral yangu ya kwanza utumishi week iliyopita.

Nawashukuru sana wadau wote , mnatutia san moyo kiukweli . Na mimi nilikua ni katika wale wasioamini kwenda kupambania nafasi chache chache za utumishi kwa hofu ya ushindani. Hatimae nmetoboa baada ya kukandiwa interviews 2 tena zilizokua na nafasi kibao tu.

Hatimae najoin rasmi kwenye chama cha wasubiri placements (CCWP).

"hakikisha unafika oral, mama kachafukwa"
Hiyo sio kauli yangu ni ya mtumishi m1 wa psrs alikika akisema wakati tunajiandaa kupiga oral.
Upo kada gani
 
Don't discourage me bro. Umepiga oral 4, what do u want to tell us about psrs? Ko Usipopata tatizo ni psrs sio wew?
"Stay positive"
though you were not my main target.
Nilitaka kuwa encourage pia ambao hawajawahi fika oral, nilikua kundi ilo juzi tu ko najua how it feels.

Uko sahihi Mkuu. Interview nyingi nilikuwa naishia written tu, nikafanya MDA&LGA nikafika oral na nikapata kazi. Yaani oral ya kwanza ndio iliyonipa kazi, Tena Taasisi nzuri tu
 
Hujamuelewa.

Tarehe 8/11/2023 ana Oral(TRA) inafanyikia Dar, pia hii hii tarehe ana Practical(MDA & LGA) inafanyikia Dom.

Ili afanye Oral (MDA & LGA) tarehe 9/11/2023 inabidi afanye na kufaulu Practical yake ambayo ni tarehe 8/11/2023.

Je atawezaje kuzifanya zote Oral(TRA) na Practical(MDA & LGA) kwa siku moja?
Tangazo la TRA lingekuwa limepitia utumishi ningemshauri akapige TRA lakini kwakuwa halipitii uko ni wazi namshauri akapige tu LGA
 
Uhuni tu wengine tumfk mara 4 n hamna cha placment wl nn
Mara nne written au oral.

Kada gani.

Kuna kada mfano kuajili kwa mwaka hata watu 10 hawafiki unadhani hata ukifika database itasaidia.

Mimi watu wangu wanne walifanya oral mwaka jana leo hii wote wako kazini.

Kada yao kila mwaka lazima taasisi zaidi ya 5 ziajiri tena Mara Mbili mbili.

Kwa hapo ni ngumu kukosa Ajira.

So inategemeana na kada yako pia na uliingia oral mwaka gani ukute mwaka 2015 huko
 
Nimejichanganya kwa kweli, kwenye ratiba wameandika zote tatu, usaili wa kuandika, vitendo na mahojiano. Nipo njia panda, baada ya TRA kubadili ratiba ya usaili wa mahojiano kuwa tarehe 08/11, na hapo jana nimekuwa shortlisted utumishi mda's & lga's

Saili nilizonazo
Tarehe 05/11 -MDA's & LGA's - Written interview -Dodoma
**Tarehe 08/11 -TRA Oral interview- Dar es salaam
**Tarehe 08/11 - MDA's & LGA's - Practical interview -Dodoma
Tarehe 09/11 - MDA's & LGA's - Oral interview -Dodoma

Ushauri wenu wakuu
Kwa Ushauri wa Bure.

Zingatia Sana tarehe. Kama Written ni Nov 5 na ipo Dodoma plus Practical ni Nov 8 na ipo Dodoma Pia even Oral Interview ni Nov 9 ipo Dodoma . Ushauri wng nenda Dodoma kabla ya trh 4 then fanya interview zote zilizopo Dodoma.

Hiyo ya TRA tena Unaweza kuta Idadi inayoitajika ni ndogo piga Chini.

Au Alternative Piga Written Nov 5 nenda Dar piga Oral Interview Nov 8 rudi Dodoma Kapige Oral ya Nov 9 (Japo hii kwako ni risk sn maana ss hv usafiri wa Usiku una wateja wengi Unaweza kukuchelewesha Kwa kutumia Gar za kuunga ungaa) decision ni yako lkn lzm ukubal kusacrifice interview 1 ya trh 8 Nov
 
Kwa Ushauri wa Bure.

Zingatia Sana tarehe. Kama Written ni Nov 5 na ipo Dodoma plus Practical ni Nov 8 na ipo Dodoma Pia even Oral Interview ni Nov 9 ipo Dodoma . Ushauri wng nenda Dodoma kabla ya trh 4 then fanya interview zote zilizopo Dodoma.

Hiyo ya TRA tena Unaweza kuta Idadi inayoitajika ni ndogo piga Chini.

Au Alternative Piga Written Nov 5 nenda Dar piga Oral Interview Nov 8 rudi Dodoma Kapige Oral ya Nov 9 (Japo hii kwako ni risk sn maana ss hv usafiri wa Usiku una wateja wengi Unaweza kukuchelewesha Kwa kutumia Gar za kuunga ungaa) decision ni yako lkn lzm ukubal kusacrifice interview 1 ya trh 8 Nov
Haujaelewa Ana ww atapigaje oral Dodoma wakati anatakiwa afanye oral tar 8 ambayo ndo itakuwa siku ya oral TRA na siku hiyo hiyo anatakiwa afanye practical Dodoma kama atakuwa amefaulu written
 
Kwa Ushauri wa Bure.

Zingatia Sana tarehe. Kama Written ni Nov 5 na ipo Dodoma plus Practical ni Nov 8 na ipo Dodoma Pia even Oral Interview ni Nov 9 ipo Dodoma . Ushauri wng nenda Dodoma kabla ya trh 4 then fanya interview zote zilizopo Dodoma.

Hiyo ya TRA tena Unaweza kuta Idadi inayoitajika ni ndogo piga Chini.

Au Alternative Piga Written Nov 5 nenda Dar piga Oral Interview Nov 8 rudi Dodoma Kapige Oral ya Nov 9 (Japo hii kwako ni risk sn maana ss hv usafiri wa Usiku una wateja wengi Unaweza kukuchelewesha Kwa kutumia Gar za kuunga ungaa) decision ni yako lkn lzm ukubal kusacrifice interview 1 ya trh 8 Nov
Hujamuelewa wew soma vizurii alichoandika ndio u comment.
 
Back
Top Bottom