Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanazingua..Kama hawatatoa ajira tena watutangazie basi tuache kuingia web yao na kukesha humu.
Waseme basi tujue.wanazingua..
kama vipi waseme watu turudi enzi zile za analojia na mabaasha kwenye ofisi za uma.maza ameshazingua tayari izo taasisi za uma kazi zenyewe haziwekwi public.shabaaaaaaaaaaaaaaaaaaaasssssssssssssshhhhhhhhhhhhhhhhKama hawatatoa ajira tena watutangazie basi tuache kuingia web yao na kukesha humu.
Uvumilivu umeshanishinda.kama vipi waseme watu turudi enzi zile za analojia na mabaasha kwenye ofisi za uma.maza ameshazingua tayari izo taasisi za uma kazi zenyewe haziwekwi public.shabaaaaaaaaaaaaaaaaaaaasssssssssssssshhhhhhhhhhhhhhhh
poleni wakuu, ni swala la muda tuuUvumilivu umeshanishinda.
Inachosha.poleni wakuu, ni swala la muda tuu
Habari nzuri sana hii hasa kwa wahusika,OFISI YA RAIS-UTUMISHI YAIDHINISHA VIBALI 930 VYA AJIRA MPYA KWA KADA YA WATUNZA KUMBUKUMBU NA NYARAKA KATIKA MWAKA WA FEDHA 2023/24
utumishi.go.tzOct 27, 2023 12:00 PM
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Watunza Kumbukumbu na Nyaraka wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 11 wa Chama cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) uliofanyika jijini Dodoma.
Taasisi wanaficha Document.TAASISI ni KICHAKA tu cha kutaka KURUDISHA enzi za KURITHISHANA mashirika ya UMMA...hawana KABISA sababu ambazo ni za MSINGI...hapa NGUVU zingewekwa KUIBORESHA PSRS na SI vinginevyo....
Kwa ambao wamelamba asali wanajua maswali tunayokutananayo huko kwenye mashirika baada ya kufanikiwa kuingia kupitia PSRS..wapo watu wana watoto wao wanakandwa sana CIVE..wanauliza wewe ulifanyaje ndo nikapata jibu..huyu angekua amepewa nguvu ya kuajiri huwenda hata Mimi nisingekuwepo hapa.
Wazee STUKENI...TAASISI KUPEWA HUU MCHONGO ni MTEGO.
sio wewe tu ndugu yangu tupo wengi..Uvumilivu umeshanishinda.
Mimi Kwa majina naitwa G.sio wewe tu ndugu yangu tupo wengi..
ya kweli ayo 😆Mimi Kwa majina naitwa G.
Nilifanya interview ya utumishi nakuingia oral mwezi wa nane.
niseme neno Moja.
Kuanzia leo tar moja sitajishughulisha tena na masuala ya kutafuta mkeka.
NIMEACHA NIMECHOKA.
AMEN
Yan Mwezi wa 8 unachoka sasa hivi mbona mapema snMimi Kwa majina naitwa G.
Nilifanya interview ya utumishi nakuingia oral mwezi wa nane.
niseme neno Moja.
Kuanzia leo tar moja sitajishughulisha tena na masuala ya kutafuta mkeka.
NIMEACHA NIMECHOKA.
AMEN
we umefanya liniYan Mwezi wa 8 unachoka sasa hivi mbona mapema sn
Zamani 10+ months ago na wala siwazi nikipata nafasi uwaga na download Placement zotewe umefanya lini
Sasa wewe si wa database mm Hata hatujaitwa kaziniZamani 10+ months ago na wala siwazi nikipata nafasi uwaga na download Placement zote