Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Jamani Ambao hamjalipwa huko!
Kumbe Waziri anapitia pitia hapa Jukwaani..
Screenshot_20231113-201701_WhatsApp.jpg
 
Ngoja nikushirikishe machache tu ambayo yanaendelea huku maofisini ujue jinsi Dunia ilivyokuwa haina USAWA....

Mimi binafsi ni mwaka wa 3 huu natafuta uhamisho (nishafanya Kazi miaka 10, kwahiyo Nina sifa zotee za kupata uhamisho) ila sasa...

Nikiwa na hustle na kutafuta uhamisho

1. Kuna watu wanapata Kazi (ajira mpya) wanakuja kureport, anarudi home kusubiri cheki namba.
Ile anaipata, hata hajaanza Kazi, anakuja na barua ya uhamisho kahamishiwa Taasisi fulani. Kwa halmashauri anatemana nayo kihivyo

UNADHANI HUYU HATA AJIRA ALIIPA NJIA KAMA YAKO?

2. Mmepata ajira mpya, wewe unawaza umfundishe Kazi ili umuachie ofisi uhame.
Na uhamisho hutoka baada ya mwaka wa ajira (ukishathibitishwa).
Ndani chini ya mwaka mtu anakuja na barua ya uhamisho na anasepa anakuacha wewe wa miaka hapohapo.

3. Siku umekaa unahili wala lile, unashangaa DED kamind. Kisa kapokea simu kutoka juuu huko "mtumishi fulani anatakiwa ahame haraka"

Braza hii Dunia japo Kuna Mungu, ila Kuna watu Wana WATU, sio watu ni WATU.

Mungu akujalie upate ajira, ipo siku UTANIELEWA.

Karibu kwenye Utumishi wa Umma.

#YNWA
Sheria zipo kwa ajili ya watu masikini na wasio na connection tu ila matajiri haziwahusu
 
Ngoja nikushirikishe machache tu ambayo yanaendelea huku maofisini ujue jinsi Dunia ilivyokuwa haina USAWA....

Mimi binafsi ni mwaka wa 3 huu natafuta uhamisho (nishafanya Kazi miaka 10, kwahiyo Nina sifa zotee za kupata uhamisho) ila sasa...

Nikiwa na hustle na kutafuta uhamisho

1. Kuna watu wanapata Kazi (ajira mpya) wanakuja kureport, anarudi home kusubiri cheki namba.
Ile anaipata, hata hajaanza Kazi, anakuja na barua ya uhamisho kahamishiwa Taasisi fulani. Kwa halmashauri anatemana nayo kihivyo

UNADHANI HUYU HATA AJIRA ALIIPA NJIA KAMA YAKO?

2. Mmepata ajira mpya, wewe unawaza umfundishe Kazi ili umuachie ofisi uhame.
Na uhamisho hutoka baada ya mwaka wa ajira (ukishathibitishwa).
Ndani chini ya mwaka mtu anakuja na barua ya uhamisho na anasepa anakuacha wewe wa miaka hapohapo.

3. Siku umekaa unahili wala lile, unashangaa DED kamind. Kisa kapokea simu kutoka juuu huko "mtumishi fulani anatakiwa ahame haraka"

Braza hii Dunia japo Kuna Mungu, ila Kuna watu Wana WATU, sio watu ni WATU.

Mungu akujalie upate ajira, ipo siku UTANIELEWA.

Karibu kwenye Utumishi wa Umma.

#YNWA
Brother na mm ni muhanga wa hili jambo la uhamisho

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
chief umeamua uwakimbie tamisenga !

karibu kwenye mapambano huku PSRS
Nilishajisajili tokea 2021 sema sikua serious ila juzi ndio NIMETUMA OMBI LA KWANZA tokea nijisajili 2021.

Hata vyeti niliweka(ga) ambavyo sija certify, ila Juzi hapa nimeamua kuwa serious na kila KIGEZO.

Kuna jamaa nawajuwa wamelamba Tena asali ... (Ndani ya mwaka huu)
1. Kuna muhasibu mmoja Iringa manispaa kalamba asali ya EWURA,
2. Kuna IT Dom kalamba asali ya Wizara ya mambo ya ndani,
3. Na wengine kama wa 4 wanawajua wahasibu (halmashauri tofauti tofauti) wamelamba asali za TRA (ile TRA ya mwanzo iliyopitia Ajira portal).
4. Na kikubwa zaidi huu mkeka uliomtoa Zai wa JF humu, Kuna raia wangu nae kalamba asali ya Taasisi tenaaa.

Hawa ndio wameni "motivate" kumbe inawezekana UKIKAZA ukasepa TAMISEMI.

Huyo wa 4 ndio kanishtua balaaa "I should be serious"

#YNWA
 
Nilishajisajili tokea 2021 sema sikua serious ila juzi ndio NIMETUMA OMBI LA KWANZA tokea nijisajili 2021.

Hata vyeti nilikuweka(ga) ambavyo sija certify, ila Juzi hapa nimeamua kuwa serious na kila KIGEZO.

#YNWA
unaonekana umejipanga,kikubwa kula msuli wakutosha.

na vp ukipiga usahili wa MDAS&LGAS halafu wakakupeleka tena halmashauri itakuaje!?

coz utumishi wanakupeleka popote
 
unaonekana umejipanga,kikubwa kula msuli wakutosha.

na vp ukipiga usahili wa MDAS&LGAS halafu wakakupeleka tena halmashauri itakuaje!?

coz utumishi wanakupeleka popote

Nafata NJIA ZA MA-ROLE MODEL WANGU....😎😎😎

Kuna jamaa nawajuwa wamelamba Tena asali ... (Ndani ya mwaka huu)

1. Kuna muhasibu mmoja Iringa manispaa kalamba asali ya EWURA,

2. Kuna IT Dom kalamba asali ya Wizara ya mambo ya ndani,

3. Na wengine kama wa 4 wanawajua wahasibu (halmashauri tofauti tofauti) wamelamba asali za TRA (ile TRA ya mwanzo iliyopitia Ajira portal).

4. Na kikubwa zaidi huu mkeka uliomtoa Zai wa JF humu, Kuna raia wangu nae kalamba asali ya Taasisi tenaaa.

Hawa ndio wameni "motivate" kumbe inawezekana UKIKAZA unasepa TAMISEMI.

Huyo wa 4 ndio kanishtua balaaa "I should be serious"

Akili yangu inawaza kukimbia TAMISEMI tuuuu.

Kwahiyo hata wakiniweka kwenye Data base basi wanitupie BOT au HAZINA..!!!

#YNWA
 
Nafata NJIA ZA MA-ROLE MODEL WANGU....[emoji41][emoji41][emoji41]

Kuna jamaa nawajuwa wamelamba Tena asali ... (Ndani ya mwaka huu)

1. Kuna muhasibu mmoja Iringa manispaa kalamba asali ya EWURA,

2. Kuna IT Dom kalamba asali ya Wizara ya mambo ya ndani,

3. Na wengine kama wa 4 wanawajua wahasibu (halmashauri tofauti tofauti) wamelamba asali za TRA (ile TRA ya mwanzo iliyopitia Ajira portal).

4. Na kikubwa zaidi huu mkeka uliomtoa Zai wa JF humu, Kuna raia wangu nae kalamba asali ya Taasisi tenaaa.

Hawa ndio wameni "motivate" kumbe inawezekana UKIKAZA unasepa TAMISEMI.

Huyo wa 4 ndio kanishtua balaaa "I should be serious"

Akili yangu inawaza kukimbia TAMISEMI tuuuu.

Kwahiyo hata wakiniweka kwenye Data base basi wanitupie BOT au HAZINA..!!!

#YNWA
Inabidi na mimi niamke na tupeane mbinu ya kukimbia TAMISEMI maana na mm nmepachoka huku

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Nafata NJIA ZA MA-ROLE MODEL WANGU....😎😎😎

Kuna jamaa nawajuwa wamelamba Tena asali ... (Ndani ya mwaka huu)

1. Kuna muhasibu mmoja Iringa manispaa kalamba asali ya EWURA,

2. Kuna IT Dom kalamba asali ya Wizara ya mambo ya ndani,

3. Na wengine kama wa 4 wanawajua wahasibu (halmashauri tofauti tofauti) wamelamba asali za TRA (ile TRA ya mwanzo iliyopitia Ajira portal).

4. Na kikubwa zaidi huu mkeka uliomtoa Zai wa JF humu, Kuna raia wangu nae kalamba asali ya Taasisi tenaaa.

Hawa ndio wameni "motivate" kumbe inawezekana UKIKAZA unasepa TAMISEMI.

Huyo wa 4 ndio kanishtua balaaa "I should be serious"

Akili yangu inawaza kukimbia TAMISEMI tuuuu.

Kwahiyo hata wakiniweka kwenye Data base basi wanitupie BOT au HAZINA..!!!

#YNWA
utapata chief endelea kula madesa
boss wako unavo muomba ruhusa kwenda kupiga pepa ,vp hawezi kukuwekea kinyongo.
 
Inabidi na mimi niamke na tupeane mbinu ya kukimbia TAMISEMI maana na mm nmepachoka huku

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
1. Ajira portal (Ajira mpya)
2. Connection
3. Matangazo ya transfer (kutuma direct Taasisi na jengine kupitia ajira portal)

Komaa na haya, ipo siku njia moja wapo ITAKUTOA.

#YNWA
 
Back
Top Bottom