HS CODE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 1,784
- 4,376
wametangaza kazi mwezi wa 5 mpaka leo hawajatoa placement sasa walikuwa wanalalamika nini utumishi walivyochelewa kipindi kile
Hicho ndicho kimenishtua naona mauza uza ni yale yale tu. Halafu vuta picha taasisi inadili na kutafuta wafanyakazi wake tu lakini inachukua muda kiasi hiki. Je ingekuwa wanatafuta wafanyakazi wa taasisi kumi ingekuwaje!