Pinacoladee
JF-Expert Member
- May 22, 2023
- 858
- 1,120
Kuna sisi ambao ndo kwanza2 tunasubir interview ha2jaitwa..yani stress tu na ha2oni job adverts n shidaa yn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna wanaosubiri adverts kuna wanaosubiri interview na kuna wanaosubiri placement. ngoja me niendelee kusubiri japo najua placement mpaka mwakaniKuna sisi ambao ndo kwanza2 tunasubir interview ha2jaitwa..yani stress tu na ha2oni job adverts n shidaa yn
Yaniii full stress..ila bora uwe unasubir placement vistatus si vishaanza kusom soma ukokuna wanaosubiri adverts kuna wanaosubiri interview na kuna wanaosubiri placement. ngoja me niendelee kusubiri japo najua placement mpaka mwakani
usikate tamaaDAAH, MM NIMESHAKATA TAMAA AISEE! NIMEFATILIA KWA MDA MREFU SANA KAZI ZA UTUMISHI ILA KILA SIKU ZINAVYOZIDI KWENDA NDIO MAMBO YANAZIDI KUWA MEUSI.
Acha wasaidiweee majukumu yamewaelemea tutest na njia mbadala not always psrsMwaka 2019, tangazo la kazi lilitoka tarehe 09, Aprili, 2019, tangazo la kuitwa kwenye usaili likatoka 06 Mei, 2019, written zikafanyika 11, Mei, 2019, majibu ya mchujo wa written yakatoka tarehe 12 Mei, 2019 na orals zikafanyika tarehe 14 Mei, 2019. Tangazo la kuitwa kazini likatoka tarehe 07 June, 2019.
Tarehe 10 June, 2019 tukaripoti kazini, verification ya vyeti ikafanyika for 2 weeks, then ikafuatia vetting by GSO. Baada ya 1 week training and orientation, tukaanza kupigika tarehe 1, Julai, 2019.
Nikiangalia time span ya wakati huo, kwa kada yangu na nyingine, unaona kabisa mambo yalikuja kuharibika hapa kati kati. Taasisi zilianza kuwithdraw matangazo ya kazi "until further notice". Pia majibu ya saili mbali mbali yalianza kuchelewa. Nilichokuja kugundua ni kua, mchakato wa ajira unakua governed kwa kiasi kikubwa na muajiri.
Having said that, inawezekana kabisa taasisi (especially zenye maslahi mazito), zinafanya hujuma kwa PSRS ili mchakato urudi kwa taasisi binafsi, which is very detrimental kwa watu waasio na connection.
Mwaka 2019, tangazo la kazi lilitoka tarehe 09, Aprili, 2019, tangazo la kuitwa kwenye usaili likatoka 06 Mei, 2019, written zikafanyika 11, Mei, 2019, majibu ya mchujo wa written yakatoka tarehe 12 Mei, 2019 na orals zikafanyika tarehe 14 Mei, 2019. Tangazo la kuitwa kazini likatoka tarehe 07 June, 2019.
Tarehe 10 June, 2019 tukaripoti kazini, verification ya vyeti ikafanyika for 2 weeks, then ikafuatia vetting by GSO. Baada ya 1 week training and orientation, tukaanza kupigika tarehe 1, Julai, 2019.
Nikiangalia time span ya wakati huo, kwa kada yangu na nyingine, unaona kabisa mambo yalikuja kuharibika hapa kati kati. Taasisi zilianza kuwithdraw matangazo ya kazi "until further notice". Pia majibu ya saili mbali mbali yalianza kuchelewa. Nilichokuja kugundua ni kua, mchakato wa ajira unakua governed kwa kiasi kikubwa na muajiri.
Having said that, inawezekana kabisa taasisi (especially zenye maslahi mazito), zinafanya hujuma kwa PSRS ili mchakato urudi kwa taasisi binafsi, which is very detrimental kwa watu waasio na connection.
Shida hata wanaowasaidia wanafanya Yale Yale. TRA mchakato umeanza mwezi wa 5 mpk Leo kimyaaa, wanatofauti Gani ss na utumishi?Acha wasaidiweee majukumu yamewaelemea tutest na njia mbadala not always psrs
All in all sjajua kwa nn TRA wamechelewa ila kwa mtazamo wang hawa PSRS wameelemewa zaidi na wamekua na power kubwa kwa sabab mchakato wote wa ajira ulikua chini yao,so naona ni bora taasisi zingine ziajiri wenyewe tutest na ladha nyingine piaaShida hata wanaowasaidia wanafanya Yale Yale. TRA mchakato umeanza mwezi wa 5 mpk Leo kimyaaa, wanatofauti Gani ss na utumishi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mim ni mmoja wa waliofanya pepa za TRA niliexpirience utofauti mkubwa sana wa saili zinazoendeshwa na psrs,kwanza psrs msailiwa wanamtreat as if ni mtu duni anaestahiki kujiwa vyvyte poor customer service,lkn pale TRA hakuna kufokewa wala maelekzo ya ajbu ajbu kila mtu yuko peacefully kbsa,ndani ya pannel unapewa chance ya kujielezea mpk ww mwenywe uridhike psrs pale oral zao za kibabe babe kidgo unaskia next question....so binafsi naona bora ss tutest na namna nyingineShida hata wanaowasaidia wanafanya Yale Yale. TRA mchakato umeanza mwezi wa 5 mpk Leo kimyaaa, wanatofauti Gani ss na utumishi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku niliweka begi lang juu ya floor ya stage pale juu kuna mkandaji alinikormea utasema nimeiba 😅Mim ni mmoja wa waliofanya pepa za TRA niliexpirience utofauti mkubwa sana wa saili zinazoendeshwa na psrs,kwanza psrs msailiwa wanamtreat as if ni mtu duni anaestahiki kujiwa vyvyte poor customer service,lkn pale TRA hakuna kufokewa wala maelekzo ya ajbu ajbu kila mtu yuko peacefully kbsa,ndani ya pannel unapewa chance ya kujielezea mpk ww mwenywe uridhike psrs pale oral zao za kibabe babe kidgo unaskia next question....so binafsi naona bora ss tutest na namna nyingine
hiyo vetting ni kitu gani na inafanyika vipi...Mwaka 2019, tangazo la kazi lilitoka tarehe 09, Aprili, 2019, tangazo la kuitwa kwenye usaili likatoka 06 Mei, 2019, written zikafanyika 11, Mei, 2019, majibu ya mchujo wa written yakatoka tarehe 12 Mei, 2019 na orals zikafanyika tarehe 14 Mei, 2019. Tangazo la kuitwa kazini likatoka tarehe 07 June, 2019.
Tarehe 10 June, 2019 tukaripoti kazini, verification ya vyeti ikafanyika for 2 weeks, then ikafuatia vetting by GSO. Baada ya 1 week training and orientation, tukaanza kupigika tarehe 1, Julai, 2019.
Nikiangalia time span ya wakati huo, kwa kada yangu na nyingine, unaona kabisa mambo yalikuja kuharibika hapa kati kati. Taasisi zilianza kuwithdraw matangazo ya kazi "until further notice". Pia majibu ya saili mbali mbali yalianza kuchelewa. Nilichokuja kugundua ni kua, mchakato wa ajira unakua governed kwa kiasi kikubwa na muajiri.
Having said that, inawezekana kabisa taasisi (especially zenye maslahi mazito), zinafanya hujuma kwa PSRS ili mchakato urudi kwa taasisi binafsi, which is very detrimental kwa watu waasio na connection.
Wewe umetoa mfano wa nyuma sana mkuu. Mwaka huu tu 2023 kuna watu walifanya Oral June ilipofika August wakapata placement. Mwajiri akiwa na uharaka placement zinatoka mapema sanaMwaka 2019, tangazo la kazi lilitoka tarehe 09, Aprili, 2019, tangazo la kuitwa kwenye usaili likatoka 06 Mei, 2019, written zikafanyika 11, Mei, 2019, majibu ya mchujo wa written yakatoka tarehe 12 Mei, 2019 na orals zikafanyika tarehe 14 Mei, 2019. Tangazo la kuitwa kazini likatoka tarehe 07 June, 2019.
Tarehe 10 June, 2019 tukaripoti kazini, verification ya vyeti ikafanyika for 2 weeks, then ikafuatia vetting by GSO. Baada ya 1 week training and orientation, tukaanza kupigika tarehe 1, Julai, 2019.
Nikiangalia time span ya wakati huo, kwa kada yangu na nyingine, unaona kabisa mambo yalikuja kuharibika hapa kati kati. Taasisi zilianza kuwithdraw matangazo ya kazi "until further notice". Pia majibu ya saili mbali mbali yalianza kuchelewa. Nilichokuja kugundua ni kua, mchakato wa ajira unakua governed kwa kiasi kikubwa na muajiri.
Having said that, inawezekana kabisa taasisi (especially zenye maslahi mazito), zinafanya hujuma kwa PSRS ili mchakato urudi kwa taasisi binafsi, which is very detrimental kwa watu waasio na connection.
vetting hua inafanyika vipiWewe umetoa mfano wa nyuma sana mkuu. Mwaka huu tu 2023 kuna watu walifanya Oral June ilipofika August wakapata placement. Mwajiri akiwa na uharaka placement zinatoka mapema sana
Kwani wanaosimamia Oral interview ni wakina nani saili za Utumishi kama sio Taasisi yenyewe!!!!Utumishi kwenye oral wao ni kusimamia tu na kuangalia mchakato unaendaje...Mim ni mmoja wa waliofanya pepa za TRA niliexpirience utofauti mkubwa sana wa saili zinazoendeshwa na psrs,kwanza psrs msailiwa wanamtreat as if ni mtu duni anaestahiki kujiwa vyvyte poor customer service,lkn pale TRA hakuna kufokewa wala maelekzo ya ajbu ajbu kila mtu yuko peacefully kbsa,ndani ya pannel unapewa chance ya kujielezea mpk ww mwenywe uridhike psrs pale oral zao za kibabe babe kidgo unaskia next question....so binafsi naona bora ss tutest na namna nyingine
Wengine tumefanya tarehe hiyo Ila Kila PDF kada yetu haipoo ni wote tuliitwa na MDA's & LGA'snaona wale wa tareh 4 mwez wa 10 ndio wapo kwenye trend
Wengine tumefanya tarehe hiyo Ila Kila PDF kada yetu haipoo ni wote tuliitwa na MDA's & LGA's
Au wewe ni KADA GANI??Wengine tumefanya tarehe hiyo Ila Kila PDF kada yetu haipoo ni wote tuliitwa na MDA's & LGA's