Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sheria Ukienda kwenye mikando Marufuku kuhadithia majirani , Ndugu , Wapenzi ,hata marafiki Nenda kimya kimya.... Sio wote watafurahia upate kazi.. Cz Asilimia 99 ya watu wanaotuzunguka wanajua ukipata kazi serikalini umetoboa....wao hawajui halmashauri wala nn wanajua ukiwa serikalini umeula, so lazima husda ziwepo so unashangaa unakosa marks moja kumbe kuna ndugu anakusagia kunguni kwa waganga....

Ndio maana nikamwambia innojembe huwezi toboa cz tayari umepanick na umeshirikisha raia wote kuwa unaenda usaili wa seeikalini.
Kabisa kabisa Mkuu
 
ulimtaniaje sasa.
🤣🤣Alinilazimisha kuuliza swali la ziada,nikamjibu ,nope ,no question, akaendelea kufosi kunihoji, still nikamjibu nope
Aliponiuliza Mara ya tatu nikaona anazingua,
Nikamwuliza; what's your name?
Akanijibu;Am Mr Kennedy
Nikamwuliza Tena?are you married?🤣
Akapigwa butwaa😂😂
Panel yote ikaangua kicheko.
 

Attachments

  • IMG_20231006_092602_112.jpg
    IMG_20231006_092602_112.jpg
    610.5 KB · Views: 13
Eeh trust me
Kuna limtoto la mwantumu mahiza ,Lina cheti tu,liko wizara ya ardhi pale daslam ,mwaka wa 15 huu
Linaitwa seif mahiza,kilaza
Lisanii,halina tija yoyote,kazi kuuza na kufanya utapeli wa beach plots
Ila lipo tu
Wataalamu ,wasomi kibao wanahamishwa,Ila lenyewe lipo miaka na miaka daslam hapo
Linchi limeoza hili🙏
 
[emoji1787][emoji1787]Alinilazimisha kuuliza swali la ziada,nikamjibu ,nope ,no question, akaendelea kufosi kunihoji, still nikamjibu nope
Aliponiuliza Mara ya tatu nikaona anazingua,
Nikamwuliza; what's your name?
Akanijibu;Am Mr Kennedy
Nikamwuliza Tena?are you married?[emoji1787]
Akapigwa butwaa[emoji23][emoji23]
Panel yote ikaangua kicheko.
Ahsante kwa kusindikizia na picha
 
mie interview ya kwanza tu utumishi niliingia oral nikaanza kuwaona wakandwaji hawako serious interview zilizofuata sasa ni full not selected for oral..[emoji1787][emoji1787]
Daa mimi nilikandwa interview ya kwanza tuu hata sikuingia oral, ila jmos tena nimkeua shortlisted kwenda written tena MUNGU anifanyie wepesi nivuke hatua inayofatia! [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Daa mimi nilikandwa interview ya kwanza tuu hata sikuingia oral, ila jmos tena nimkeua shortlisted kwenda written tena MUNGU anifanyie wepesi nivuke hatua inayofatia! [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
mungu ni mwema amini na pambana sana
 
Back
Top Bottom