Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

TANGAZO LA KUITWA KAZINI.
KWA wasailiwa waliofanya usaili kati ya 19/10/2022----08/11/2023

So ; - ukiona uliwahi fanya interview kwenye range ya tarehe hizo na jina lako halipo it means upo database ila nafasi haijapatikana bado .

So usiseme mwezi wa 6 hawajatoa... Wametoa ila kwa range hizo.
Tunasema hawajatoa kwa sababu kada husika hakuna aliyeitwa hata mmoja utasemaje wametoa sasa
 
Ujue kwenye hilo swala la watu kuitwa interview thn asiitwe hata mmoja niliwahi kukaa na Akili zangu za Njaa...nikajisemea Hivi utumishi hawawezi kweli Fanya tu Advertisment ya kazi hewa ili wapige Mshindo??? Cz Budget ya usaili mmoja Ni mamilion ya Hela Mjue.... Cz kuandaa tu process na logistics plus per diem ni hela nyingi mno.. Ila ngoja Tuone
 
Ujue kwenye hilo swala la watu kuitwa interview thn asiitwe hata mmoja niliwahi kukaa na Akili zangu za Njaa...nikajisemea Hivi utumishi hawawezi kweli Fanya tu Advertisment ya kazi hewa ili wapige Mshindo??? Cz Budget ya usaili mmoja Ni mamilion ya Hela Mjue.... Cz kuandaa tu process na logistics plus per diem ni hela nyingi mno.. Ila ngoja Tuone
Wanatuona na sisi manyumbu Kama walivo wao
 
Huu mwaka wa madereva, unawaishia vizuri sana, dah pdf ya Leo mmh! Isiwe ndo yakufungia mwaka Tu, wapandishe na nyingine angalau inone none kidogo
 
Back
Top Bottom