El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
safari ni ndefuyaani hatuelewi kabisa 😂 😂 jamaa wametushangaza sana. wanasema ukimya mwingi una mshindo mkuu ila wao sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safari ni ndefuyaani hatuelewi kabisa 😂 😂 jamaa wametushangaza sana. wanasema ukimya mwingi una mshindo mkuu ila wao sasa.
Ilikuwa Ya Kada Gani??? Au ndio MDA & LGA?hawajatoa kwa maana kama wangetoa ina maana mmefeli wote mmewekwa kwenye database yaani asipate hata mmoja. au mimi ndio sielewi
hao hao Miso Misondo MDA and LGAIlikuwa Ya Kada Gani??? Au ndio MDA & LGA?
Tunasema hawajatoa kwa sababu kada husika hakuna aliyeitwa hata mmoja utasemaje wametoa sasaTANGAZO LA KUITWA KAZINI.
KWA wasailiwa waliofanya usaili kati ya 19/10/2022----08/11/2023
So ; - ukiona uliwahi fanya interview kwenye range ya tarehe hizo na jina lako halipo it means upo database ila nafasi haijapatikana bado .
So usiseme mwezi wa 6 hawajatoa... Wametoa ila kwa range hizo.
Ndiyo hayo ma- MDA&LGA Mkuu.Ilikuwa Ya Kada Gani??? Au ndio MDA & LGA?
Mshindo wenyewe Sasa🤣🤣🤣yaani hatuelewi kabisa 😂 😂 jamaa wametushangaza sana. wanasema ukimya mwingi una mshindo mkuu ila wao sasa.
ndio hapo inamaana wapo database au wote wamefeli hawajui. toa hata idadi kadhaa watu wajue kwamba wamefikiwaTunasema hawajatoa kwa sababu kada husika hakuna aliyeitwa hata mmoja utasemaje wametoa sasa
pdf yenye page moja 😂 😂Mshindo wenyewe Sasa🤣🤣🤣
Wanakwama sanandio hapo inamaana wapo database au wote wamefeli hawajui. toa hata idadi kadhaa watu wajue kwamba wamefikiwawa
Hata page haijaisha, eti tokea asubuhi ndiyo kazi wamefanya Leo yote hii. Bata wahidi kabisa😂😂pdf yenye page moja 😂 😂
Wameshashindwa kazi hawandio hapo inamaana wapo database au wote wamefeli hawajui. toa hata idadi kadhaa watu wajue kwamba wamefikiwa
Wanatuona na sisi manyumbu Kama walivo waoUjue kwenye hilo swala la watu kuitwa interview thn asiitwe hata mmoja niliwahi kukaa na Akili zangu za Njaa...nikajisemea Hivi utumishi hawawezi kweli Fanya tu Advertisment ya kazi hewa ili wapige Mshindo??? Cz Budget ya usaili mmoja Ni mamilion ya Hela Mjue.... Cz kuandaa tu process na logistics plus per diem ni hela nyingi mno.. Ila ngoja Tuone
hilo pdf wamejaribu kuua soo tu maana wameona mhh tutaonekana viazi 🤣 🤣Wanatuona na sisi manyumbu Kama walivo wao
😂 😂 tuwape pole kwa kazi ngumu wanayofanyaPdf Ya Mwisho ilikuwa Tarehe 2/Nov.
Kutoka tarehe 2/Nov hadi leo 14/Nov ni almost siku 14......
Majina idadi ni 14...itakuwa kila siku walikuwa wanaandika jina moya.
Ati nini 😂😂😂😂 😂 tuwape pole kwa kazi ngumu wanayofanya
[emoji16][emoji16]Pdf la zoa zoa la kumaliza mwaka limetoka[emoji23][emoji23]