Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kabla sijaendelea PART 2.

1. Jitahidi kwanza kwenye hustle zako za kutafuta ajira serikalini kwanza usiwe na moyo mwepesi wa ku give up mapema.... Cz kuna moments za kukatishwa tamaa yani siku umeenda umepiga paper fresh...maybe umepata 71 wenyewe wanachukua 72... etc so ukiwa na roho nyepesi unaweza kusema hutaki tena... Hizo situation watu wamepitia sana.

2. Lower your Expectation:
Usiwe na matumaini makubwa sana kusema lazima hii nifauru ,nooo utakuja pata vidonda vya tumbo...wewe fanya tu ukipata ni kheri ,ukikosa unakuwa umejifunza...

3. Usitangaze:- kutangaza kwa watu inakuwa kwanza kama una work under pressure cz unasema niki fail nitawaambia nini au nitaonekana sijui ....pia watu wengine wana roho mbaya hawataki mtu apate (hasa wabongo).

4. Nenda na mawazo yako, yani usikubali mtu akupangie au akuambie fanya hivi...wewe jiamini wewe kama wewe yale ni maisha yako...

5. Ukimtanguliza Mungu kila kitu kinawezekana.....

See you ....Itaendelea sehemu ya pili... Interview yangu ya pili ilikuwaje?? Je ndio hii iliyonipa kazi ???
 
Wewe jamaa humu jukwaani hutakiwi
Mkuu usijali, Kama ulifanya Oral Mungu atatenda miujiza kikubwa usikate tamaa na usipoteze imani kwake... Kila kitu kinawezekana...

Mimi nakumbuka nilianzaga kufanya interview 2021 ya TRC interview yangu ya kwanza nilipata 58, wakanikanda walichukua kuanzia 60. Ilikuwa ya System Administrator.... Niliumia sana kwa sababu aim ya kwenda kufanya haikuwa kufauru na kupata kazi balu kujifunza , sasa zile marks zili ni impress wangenichagua nikaenda practical nijue najifunza nini tena practical.

But sikukata tamaa, but sisi course zetu watu wa IT hazitoki nafasi mara kwa mara ni mara chache sana so ikikupita unaweza subira hata miezi 6 tena. Inshort watu wa IT kwa mwaka kafanya sanaaa interview ni tatu.... Hata range yetu ya kupata placement sio kubwa.... Unaweza kuta mwaka uliopita watu wa Tehama kuchukuliwa hawazidi 50.

Basi kama sikosei hiyo TRC , ilikuwa mwezi wa kwanza au wapili mwishoni.. nikakaaa miezi mingi takribani miezi sita ila nafasi zilikuwa zinatoka but ubaya yani IT ni kubwa.... Kuna networking, administrator , database, security, web developer ,programmer etc....

Sasa unatakiwa uwe umejitune unapoona unapaweza ukienda tu kila interview unakuwa unapoteza hela zako, cz mfano mimi najijua kabisa hapo Database siwezi kivile kwenda kubahatisha, so inabidi usubilie kile unachoweza ndio tangazo litoke ndio uende, but kuna watu wanajiweza wao zote twende.


Basi bwana ,mimi nikachagua za kufanya so nikawa nachukua material, pamoja na video tutorial huku nikajiunga group la watafutaji la utumishi, so watu wakienda wanashare leo maswali yalikuwa hivi ....basi ukiona hiyo topic naenda nasoma kidogo kidogo na practice hivyo yani....

Basi bwana:...... Kusoma ikawa daily routine yangu, sio kila siku but nikipata muda nasoma yani haiwezi pita week 2, sio kusoma ile serious viileeee ...no sometimes upo kitandani unacheck video tutorial na notes au una solve maswali hivyoooo... Mara unaingia website za maswali na majibu ili mradi kichwa kisipoe kikasahau...., Nilikuwa nasoma any useful material ambayo nilikuwa naona yanaweza nisaidia...

Pia nikawa nimenunua note book, pale mbele nikaweka target kuwa nikienda interview yoyote basi written nisishuke 75% ...practical pia niliweka nakumbuka na oral niliweka tu pass ...

So maisha yakawa yanendelea huku experience nyengine napata humu, kwenye hili jukwaaa.... Mimi hadi kujibu oral nilichukua humu technique kuna mtu aliwahi andika humu .... Hasa lile swali la Education background / tell us about yourself ....

So nikaendelea ,huku nasubiria tangazo la kazi litokeee.... Pia nilikuwa naombaga na private but kule ilikuwa kama tu nikipata nijishikize but my dream was serikalini kwa sababu ya Security pia nilikuwa naimani Carrier yangu itakuwa haraka sana....

Nakumbuka mpka mwaka 2021 unaisha hazikutoka kazi tena za system administrator baada ya zile za TRC ...tukaingia 2022........Itaendeleeaaaa

Nb: Watu wa tehama mnaweza chukua experience mkajaribu kupractice....
 
Yani humu watu roho zinawauma sanaaaa ...Mnooo, sasa nawaahidi Nita screenshoot salary slip ili roho zizidi kuwauma .... Na nimewachora tuuu yani , Take home ya 2.1 Million... Ikitoka salary slip lazima nitume humu ili tuheshimiane ....Wadudu nyie. Ili muende mkaroge🤣
Kada gani na taasisi ipi?
 
Daaaaaaah Mkuu punguza matusi, achana naye Boss wetu mpya aeleze tu furaha yake.
Mimi naomba mkeka unaokuja uje na majina hata ya watu wa 5 humu, wanaonitukana thn wa feel ile feeling ya kuwa mtumishi wa umma.... Wazee kuna watu huko wanatusema na kutuongelea vibaya, na hawataki tutoboe na wengine ni ndugu zetu kabisa.... So mimi naomba watu wale asali boss....hata mtu akila ya halmashauri tambaaa kule mtaani hawajui halmashauri sijui njaa wao wanajua ukipata umetoboa....

Kuna mademu walitusaliti kisa hatujajipata , na wana kibao wakatukatia mawasiliano... Yani sisi ndio wa kujipendekeza kwao....

Wakuu PDF LINALOKUJA NAOMBA NA WEWE JINA LAKO LIWEPO MKUU, ✍️✍️.

Mimi siwezi ombea mwenzangu asipate au aendelee kupitia msoto ..cz nilipita hiyo hali na naelewa ...Tena naomba mpate taasisi nzuri cz najua wengine mnafamilia kubwa wanasubiria wewe ndio upige teke kopo la kombolela uwagomboe wenzakooo....

Mwalimu wangu wa chuo ,alisema tunaishi maisha ya wengine....Yani leo ww hata huo mshahara mkubwa ukipata sio wako kwa ajiri ya familia yako wewe utatumia kidogo tu sana....✌️....So wanangu nawaombea PDF lijalo muwepo, Vitengo Vinono...✅
 
Mlikuwa mnadanganyana chuo eti ooh G.P.A sio kitu...Boss kuna Taasisi zinasema kabisa tupe wenye GPA kuanzia fulani... Sasa wewe una G.P.A yako sijui lower class unataka uje huku kwenye mahesabu ...si utatuibia malengo mdudu wewe...kama G.P.A yako tu umeshindwa itengeneza
GPA inatangazwa kabisa kwwny tangazo na mitihani ya pale ni timing ,hata interview zote ni technique unaweza kushindwa pamoja na GPA kubwa .

GPA kama ni added advantage mnaweza kufungana na anatakiwa mmoja basi wataangalia GPA .
 
GPA inatangazwa kabisa kwwny tangazo na mitihani ya pale ni timing ,hata interview zote ni technique unaweza kushindwa pamoja na GPA kubwa .

GPA kama ni added advantage mnaweza kufungana na anatakiwa mmoja basi wataangalia GPA .
Ni kweli kabisa ndugu yangu, na hata wanaofail Interview sio kama hawajui...wengi ni wataalamu kweli kweli ila huwaga inatokea tuuu... Na kuna watu wamepata kazi hata vitu hawajui ni vile tu wameotea siku hiyo walichokuwa wanakijua ndio kimetoka...So sometimes ni game ya bahati...nakubaliana na wewe kwa asilimia 100 kaka
 
Ni kweli kabisa ndugu yangu, na hata wanaofail Interview sio kama hawajui...wengi ni wataalamu kweli kweli ila huwaga inatokea tuuu... Na kuna watu wamepata kazi hata vitu hawajui ni vile tu wameotea siku hiyo walichokuwa wanakijua ndio kimetoka...So sometimes ni game ya bahati...nakubaliana na wewe kwa asilimia 100 kaka
Mimi nimefanya na watu weny GPA Kubwa ila wamedunda , wengi hawakumaliza maswali ilikuwa mara yao ya kwanza .

Ujinga wa utumishi mtu hata aww hovyo akishaingia kweny system sio mwenzio tena maana kuacha kazi sio rahisi labda atake...Unaweza kumuona mtu kilaza akaotea interview ndio basi tena kashapita.

Maofisini wapo kibao na wanaishi .
 
Mimi nimefanya na watu weny GPA Kubwa ila wamedunda , wengi hawakumaliza maswali ilikuwa mara yao ya kwanza .

Ujinga wa utumishi mtu hata aww hovyo akishaingia kweny system sio mwenzio tena maana kuacha kazi sio rahisi labda atake...Unaweza kumuona mtu kilaza akaotea interview ndio basi tena kashapita.

Maofisini wapo kibao na wanaishi .
Ndio ni kweli kabisa kaka, unayosema
 
Mkuu mimi ni ICT SECURITY OFFICER....Mtaalamu mbobevu wa usalama wa mifumo ya computer , karibu.
Nyie wazee wa mjini maana hizo kada zenu ndio maendeleo ya sasa ,kutwa ajira zinatoka ..

Hongera kijana ! Kazi ni heshima kama umeridhia ... Taratibu akili itakuwa zaidi unaweza kuchambua mambo baadae ukaomba kuhamia taasisi nyingine ukiona mshahara umechoka ukipata nafasi huko.
.
 
Acha. Janja janja wewe sema It mara sijui security siasa mzee wa utumishi hiyo security kwio
Amna kitu inaitwa IT mkuu🤣🤣, IT maana yake information Technology... Sasa Hakuna hicho cheo Kaka. Kule offcn either ni Dababase administator, network engineer, System analyst, ict security offficer ... Ika nyie Ndio mnaita IT
 
Back
Top Bottom