Sys-root
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 365
- 548
na process za kureplace si zitachukua muda sanaTRA waliamua kujitoa PSRS na wakaendesha wao usaili.
PSRS haikujua kama hao watu washapata kazi huko TRA ndio maana ikawapangia kazi nafasi zilipopatikana.
PSRS kama wangekuwa wanajua wasingewapangia kazi badala yake wangewapangia watu wengine waliokuwa kwenye foleni ya database