Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kumbe!!! Unasubiri Kwa mda gani
inategemea na uhakiki wa vyeti huko necta n mwezi mu1 na kuendelea.....kuna jamaa yangu wenzake wameitwa baada ya mwez mu1 yeye bado hajaitwa mwez wa pili huu na mshahara hajapata na aliacha kazi kule alikokuwa sijui hakujua kama itachelewa so sad...ngoja nisubir zam yang
 
inategemea na uhakiki wa vyeti huko necta n mwezi mu1 na kuendelea.....kuna jamaa yangu wenzake wameitwa baada ya mwez mu1 yeye bado hajaitwa mwez wa pili huu na mshahara hajapata na aliacha kazi kule alikokuwa sijui hakujua kama itachelewa so sad...ngoja nisubir zam yang
Duh aise
 
inategemea na uhakiki wa vyeti huko necta n mwezi mu1 na kuendelea.....kuna jamaa yangu wenzake wameitwa baada ya mwez mu1 yeye bado hajaitwa mwez wa pili huu na mshahara hajapata na aliacha kazi kule alikokuwa sijui hakujua kama itachelewa so sad...ngoja nisubir zam yang
Kama mshahara unasoma hata ifike miezi 6 poa tu
 
Nimekutana na hii kulogin kwenye app sjui ndo wapo wanafanya nini🤨
 

Attachments

  • Screenshot_20240405-140812.jpg
    Screenshot_20240405-140812.jpg
    168.8 KB · Views: 10
Back
Top Bottom