Ashamery
Senior Member
- Mar 27, 2017
- 171
- 185
Kumbe!!! Unasubiri Kwa mda ganikuna miez ya kusubir tena hata baada ya kupanda kimbinyiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe!!! Unasubiri Kwa mda ganikuna miez ya kusubir tena hata baada ya kupanda kimbinyiko
inategemea na uhakiki wa vyeti huko necta n mwezi mu1 na kuendelea.....kuna jamaa yangu wenzake wameitwa baada ya mwez mu1 yeye bado hajaitwa mwez wa pili huu na mshahara hajapata na aliacha kazi kule alikokuwa sijui hakujua kama itachelewa so sad...ngoja nisubir zam yangKumbe!!! Unasubiri Kwa mda gani
Duh aiseinategemea na uhakiki wa vyeti huko necta n mwezi mu1 na kuendelea.....kuna jamaa yangu wenzake wameitwa baada ya mwez mu1 yeye bado hajaitwa mwez wa pili huu na mshahara hajapata na aliacha kazi kule alikokuwa sijui hakujua kama itachelewa so sad...ngoja nisubir zam yang
ndo ivo mzeeDuh aise
bora hata hivyo..kuna miez ya kusubir tena hata baada ya kupanda kimbinyiko
sasa hapo tunatakiwa kusubiri minimum wiki 1Aya vimuli muli vimezima sasa
NdioSamahani, wewe mwanamke?
Jioni basi waachie kitu kizitoAya vimuli muli vimezima sasa
Jobless hatuna maajabuJobless
Kama mshahara unasoma hata ifike miezi 6 poa tuinategemea na uhakiki wa vyeti huko necta n mwezi mu1 na kuendelea.....kuna jamaa yangu wenzake wameitwa baada ya mwez mu1 yeye bado hajaitwa mwez wa pili huu na mshahara hajapata na aliacha kazi kule alikokuwa sijui hakujua kama itachelewa so sad...ngoja nisubir zam yang
hajapata salaryKama mshahara unasoma hata ifike miezi 6 poa tu
Unakuta pdf inatoka ya robo page maalezo mengi page 3 kuzidi mlengwa anayekusudiwaAya vimuli muli vimezima sasa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dah! Ndugu yangu!! Magenge tena?!utumishi tufungulieni hata magenge basi jamaniiiii.dahhhhh
sasa tutafanyaje🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dah! Ndugu yangu!! Magenge tena?!
inamaana yusto utumishi wakikukabidhi genge kwa jinsi hali ilivyo sasa utalikataa 🤣 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dah! Ndugu yangu!! Magenge tena?!
wanaweka mkeka.Nimekutana na hii kulogin kwenye app sjui ndo wapo wanafanya nini🤨
Hayo ndo mambo sasa,wanaweka mkeka.