Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Waliofanya uptitude test ya utumishi hivi maswali wanayotoa ni multiple choice yote au wanachanganya?
 
Mdau wa Maendeleo T-Pain yupo wapi?? Inaonekana ndo IT ila huwa anaibiwa flash kila akisema atatoa pdf kuja watu hwa mnamuibia flash yake
 
Zilizonifikia Placement Mpaka June. Mwezi May mzima wale mlio na received jiandaeni kwenda Dodoma
 
wanaaza kuachia ......
 

Attachments

  • IMG_20240510_094804.jpg
    IMG_20240510_094804.jpg
    329 KB · Views: 5
  • IMG_20240510_094812.jpg
    IMG_20240510_094812.jpg
    105.3 KB · Views: 5
  • IMG_20240510_094858.jpg
    IMG_20240510_094858.jpg
    273.5 KB · Views: 5
  • IMG_20240510_094849.jpg
    IMG_20240510_094849.jpg
    288.9 KB · Views: 5
  • IMG_20240510_094837.jpg
    IMG_20240510_094837.jpg
    251.2 KB · Views: 5
Back
Top Bottom