Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hata kama jina langu halipo, ila leo IT ametisha sana, leteni shuhuda wakuu, kada yangu wameitwa wawili
 
Ukiuliza maswali wanasema haya mambo sio rahisi kama mnavyo taka, why sio rahisi ni magumu!, ujue katika maisha yoyote duniani sula la ugumu ni kwa sababu ya fikira za aliye shindwa zimeishia hapo ila mwingine anaweza, hata darasani tuliona hivyo swali likikushinda unampa mwenzio akusaidie ku-solve au kufanya kwamaana uelewa wa aliye shindwa umeishia hapo, sasa wasaka ajira wawaiteje waliyoko katika authorities?, hii mambo ya ajira haijabebwa na psrs tu ni cheni ndefu sana ukifuatilia wakati wingine psrs wanashindwa wafanyaje maana huenda liko nje ya uwezo wao ila hii nchi tunako enda na tunako toka bado ngumi jiwe, haiwezekani unatatua jambo alafu jambo hilo linaongeza madhala au changamoto zingine zinakuja hii ndo ilivyo katika nchi yetu TZ katika system zote za uongozi
 
Wakiwa kama hivi hata kama kada yako haipo ila inafariji moyo, wakati mwingine psrs wanakaa kimia sio kwamba wanapenda hii nchi we acha tu kila mtu mjuaji ila ukiangalia hakuna anacho jua katika suala la kuisaidia nchi ya wananchi viumbe vya Mungu vilivyoko katika taifa lao looh!,
 
utawala2025 hujachomoka hapo
Kaka kama nilivyokuambia kuna database ya mwezi wa sita utumishi wanakimbizana nayo waimalize.

Mimi nilifanya wa nane.

Kiuhalisia mimi sio jobless ila nilikuwa na imani sana na Psrs.

Ila naona naenda kukata Tamao moyo wangu umekufa ganzi.

Nilipambana sana kuingia oral zaidi ya interview mbili nimefanya.

Marafiki zangu wote wakaajiriwa.

Mimi nimeingia mwaka jana oral tukiwa 150 na database yetu haijawahi kuguswa mwezi wa sita sikuenda baada ya kufeli Mwezi watatu ila ndo hiyo hiyo utumishi wamekomaa nayo.

Yetu ina miezi 10 haijaguswa.

BABA MUNGU AHSANTE KWA YOTE.

niwatakie usiku mwema.

Ila moyo unauma sana sana.
 
Kaka kama nilivyokuambia kuna database ya mwezi wa sita utumishi wanakimbizana nayo waimalize.

Mimi nilifanya wa nane.

Kiuhalisia mimi sio jobless ila nilikuwa na imani sana na Psrs.

Ila naona naenda kukata Tamao moyo wangu umekufa ganzi.

Nilipambana sana kuingia oral zaidi ya interview mbili nimefanya.

Marafiki zangu wote wakaajiriwa.

Mimi nimeingia mwaka jana oral tukiwa 150 na database yetu haijawahi kuguswa mwezi wa sita sikuenda baada ya kufeli Mwezi watatu ila ndo hiyo hiyo utumishi wamekomaa nayo.

Yetu ina miezi 10 haijaguswa.

BABA MUNGU AHSANTE KWA YOTE.

niwatakie usiku mwema.

Ila moyo unauma sana sana.
Kukata tamaa ndo kitu haitakiwi, muda wako unakuja
 
Namshukuru Mungu nimetoka kwenye mkeshaa wa maombi asubuhii hii nakutana na jina langu kwenye pdf,nashindwa hata niongee maneno gani ya kumshukuru Mungu,nimefanya interview (4) utumishi sijawahii kubahatika kuingia Oral hata siku moja,ila interview ya mwezi wa Nne niliingia Oral kwa mara ya kwanza na Leo nimeona jina langu
 
Hongera sana Mlioitwa.
Namshukuru Mungu nimetoka kwenye mkeshaa wa maombi asubuhii hii nakutana na jina langu kwenye pdf,nashindwa hata niongee maneno gani ya kumshukuru Mungu,nimefanya interview (4) utumishi sijawahii kubahatika kuingia Oral hata siku moja,ila interview ya mwezi wa Nne niliingia Oral kwa mara ya kwanza na Leo nimeona jina langu
Waoo hongera
 
Back
Top Bottom