ANoblePerson
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 466
- 701
Subra tu MkuuHaina noma, maana majina yanatoka tu lakini bilabila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subra tu MkuuHaina noma, maana majina yanatoka tu lakini bilabila
HahahaaaaAsali
Zimepanda bei
Kuhama taasisi kunawezekana ila ni mtitiAsali ya Nyuki wadogo ndio sokoni haipo kabisa mpaka watu tunatamani ya harmashauri yoyote ile ili mradi iwe asali
Pamoja sanaSubra tu Mkuu
💪Nashukuru Mwenyezi Mungu,hatimaye nami nimeona jina langu ktk placement jioni hii....hakika ni Kam ndoto kwangu maana huu msoto haukuw rahis ila naamin wkt wa Mungu ndio wkt sahihi,kila mmoja wetu humu nna Imani atapata kazi kwa muda aliopangiwa na Mungu....
Hongera sana kaka mwenyezi mungu akutangulie huko kaka nasi tupo nyuma japo hatujui bahati itakuja baada ya mwaka au lahNashukuru Mwenyezi Mungu,hatimaye nami nimeona jina langu ktk placement jioni hii....hakika ni Kam ndoto kwangu maana huu msoto haukuw rahis ila naamin wkt wa Mungu ndio wkt sahihi,kila mmoja wetu humu nna Imani atapata kazi kwa muda aliopangiwa na Mungu....
Mkuu hakika Mwenyezi Mungu hutoa Kwa wakati kila la kheri katika majukumu yako mapya ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuuNashukuru Mwenyezi Mungu,hatimaye nami nimeona jina langu ktk placement jioni hii....hakika ni Kam ndoto kwangu maana huu msoto haukuw rahis ila naamin wkt wa Mungu ndio wkt sahihi,kila mmoja wetu humu nna Imani atapata kazi kwa muda aliopangiwa na Mungu....
Hongera sana mkuuNashukuru Mwenyezi Mungu,hatimaye nami nimeona jina langu ktk placement jioni hii....hakika ni Kam ndoto kwangu maana huu msoto haukuw rahis ila naamin wkt wa Mungu ndio wkt sahihi,kila mmoja wetu humu nna Imani atapata kazi kwa muda aliopangiwa na Mungu....
Shuhuda zimekuwa adimu siku hiziLeteni shuhuda wakuu tufurahi pamoja, shuhuda ni muhimu Sana umu
Shukrani broMkuu hakika Mwenyezi Mungu hutoa Kwa wakati kila la kheri katika majukumu yako mapya ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuu
Shukrani kakaHongera sana mkuu
Achana nayo haina athariHabari Wakuu...samahani Kuna njia ya kuondoa watermark ya CamScanner baada ya kuscan vyeti??....
Hongera mkuuMungu ameniona, Mungu ameniona, Mungu ameniona, Mungu ameniona, ahsante sana utumishi
Hongera sana, uvumilivu ni ushindi. Huwezi kushinda bila kuvumilia misukosuko na kuendelea kupambana.Nashukuru Mwenyezi Mungu,hatimaye nami nimeona jina langu ktk placement jioni hii....hakika ni Kam ndoto kwangu maana huu msoto haukuw rahis ila naamin wkt wa Mungu ndio wkt sahihi,kila mmoja wetu humu nna Imani atapata kazi kwa muda aliopangiwa na Mungu....