Shirika la rail tanzania (TRC) au wizara ya uchukuzi ingewachukuwa vijana wa mechanical, automobile, automotive, electro-mechanical, electrical and electronics, telecom na wave, aerodynamic, locomotive Engineer waliyopo data base au kama hawapo wa kutosha itoe tangazo la kazi , then iwapeleke Korea ya kusini kuweza kuwaongezea ujuzi wa kitaalamu kuhusu system zote za ki-engineering zinazo husiana na mradi wa sgr locomotive na train(car(coach)) zake zote, ili mradi uimarike usonge mbele, kuliko kutegemea techlogy ya ndani angali vitu na vifaa vyote ni vya nje(mataifa mengine), kwa maana wana ushirikiano mzuri na korea ya kusini kwa mambo ya reli kwa sasa au hata uturiki, hiyo itasaidia mradi kukua zaidi na kukuza uchumi na kufikia miaka halisi miaka 100 ya mradi ulivyo sainifiwa(design), serikali isione hasara kuwapeleka vijana korea maana after mafunzo taifa litaona faida