Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Holder of Bachelor Degree in one of the following fields; Engineering, Economics, Human Resources Management, Public Administration, Agricultural Economics, Agriculture, Sociology, Computer Science, Information Communication and Technology, Library and Information Studies, Mathematics, Statistics, Tourism and Hospitality, Finance, Accounts, Mass Communication, Journalism, Law, Education, Monitoring and Evaluation, Development Studies or equivalent qualifications from recognized institutions.

Admission Officer II hiyo haijaacha mtu
Imeaacha wengi tu mbona mkuu,
Unajua tuna kozi nyingi sana katika vyuo vyetu😂😂
Kwanza hapa hakuna kozi ata moja ya afya,kuna architecture,n.k nyingi sana hazijawekwa hapo
TANGAZO LINA UBAGUZI HILI😀😀
 
Imeaacha wengi tu mbona mkuu,
Unajua tuna kozi nyingi sana katika vyuo vyetu😂😂
Kwanza hapa hakuna kozi ata moja ya afya,kuna architecture,n.k nyingi sana hazijawekwa hapo
TANGAZO LINA UBAGUZI HILI😀😀
Mimi ni education lakini imefail mkuu....I guess wenye kukidhi vigezo Mungu awasaidie
 
Nilikuwa na maana taasisi huwa zinataka HRs wao washiriki ili wapate watu ambao ni competence na wanaoona wao watawafaa zaidi, kwenye panel ya interviwers huwa kuna HR na mtaalamu husika kutoka taasisi inayotaku kuajiri.

Sina maana kuwa wana mtu wao ambaye wanataka kumpitisha bila kuwa na vigezo. Ukijiandaa vizuri unakula asali. Best wishes
Apo nimekuelewa mkuu
 
Mimi ni education lakini imefail mkuu....I guess wenye kukidhi vigezo Mungu awasaidie
Ata ww kigezo unacho kulingana na Tangazo
Nikusihi fikisha changamoto yako kwa ict@ajira.go.tz au malalamiko@ajira.go.tz piga simu
Waambie waruhusu mfumo ukubali mtu aliyesoma education kama tangazo linavosena katika post hizo uzitaje
Yaani waruhusu kwenye category ya educationand training ili programme zilizopo hapo waweze kuomba
Watarekebisha tu hiyo changamoto mkuu bado mapema deadline ni mpaka tarehe 24 August


Mkuu pia omba nafasi ya EDITOR imetangazwa na TAASISI YA ELIMU TANZANIA (TIE) inataka watu wa education
 

Ata ww kigezo unacho kulingana na Tangazo
Nikusihi fikisha changamoto yako kwa ict@ajira.go.tz au malalamiko@ajira.go.tz piga simu
Waambie waruhusu mfumo ukubali mtu aliyesoma education kama tangazo linavosena katika post hizo uzitaje
Yaani waruhusu kwenye category ya educationand training ili programme zilizopo hapo waweze kuomba
Watarekebisha tu hiyo changamoto mkuu bado mapema deadline ni mpaka tarehe 24 August


Mkuu pia omba nafasi ya EDITOR imetangazwa na TAASISI YA ELIMU TANZANIA (TIE) inataka watu wa education
Huna baya mkuu vijana tunatakiwa kuwa namna hii lazima utafanikiwa kamanda.
 
Ata ww kigezo unacho kulingana na Tangazo
Nikusihi fikisha changamoto yako kwa ict@ajira.go.tz au malalamiko@ajira.go.tz piga simu
Waambie waruhusu mfumo ukubali mtu aliyesoma education kama tangazo linavosena katika post hizo uzitaje
Yaani waruhusu kwenye category ya educationand training ili programme zilizopo hapo waweze kuomba
Watarekebisha tu hiyo changamoto mkuu bado mapema deadline ni mpaka tarehe 24 August


Mkuu pia omba nafasi ya EDITOR imetangazwa na TAASISI YA ELIMU TANZANIA (TIE) inataka watu wa education
Asante sana mkuu nawajulisha
 
Ila uliza kwanza kabila lake asije kuwa mchaga😂😂, utapigwa za uso
Amesema ni kabila kama lake wataendana hao sema awe makini na anaye muhudumia huyo mshangazi asije tolewa meno au akatekwa na wazee wa noah nyeusi akapelekwa mabwe pande😂 anatifuliwa mfereji oooh watu wana hasira na mali yao
 
Back
Top Bottom