Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Mpaka sasa natumia cm na nakamilisha mambo yote kwenye simuWakuu mimi mbona nikitumia simu inazingua kuingia kwenye a/c yangu ya ajiraportal had nitumie pc je wenzangu huko vp?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka sasa natumia cm na nakamilisha mambo yote kwenye simuWakuu mimi mbona nikitumia simu inazingua kuingia kwenye a/c yangu ya ajiraportal had nitumie pc je wenzangu huko vp?
Sasa hapa shida itakua nini na natumia simu yenye uwezo tu kwenye suala la mtandaoMpaka sasa natumia cm na nakamilisha mambo yote kwenye simu
Simu gn unatumiaSasa hapa shida itakua nini na natumia simu yenye uwezo tu kwenye suala la mtandao
Nimesha solve tatizo now its okay.Simu gn unatumia
Sio zote. Inategemea na mwajiriBarua zote za ajira kutpitia PSRS zinaelekezwa kwa katibu utumishi, hakuna barua inayokuwa na address ya taasisi tofauti na utumishi.
Hutakiwi kuongeza chcht kwenye address zaid ya ile uliyopewa, em ngoja wataalamu wajeMsaada wakuu, anwani (picha ya kwanza) ya kazi za wiki iliyopita (MDAs & LGAs). Mimi niliandika hivyo (picha ya chini) lakini kuna mtu kaniambia nimekosea kwa kuongeza hiyo MDA & LGA, na Asha rose migiro building. Je Address naiandika kama ilivyo juu na siongezi chochote au?. View attachment 3068596View attachment 3068595
sawa asante.Hutakiwi kuongeza chcht kwenye address zaid ya ile uliyopewa, em ngoja wataalamu waje
Nilikuwa naomba editor(TET) hapa adress nitumie ipi ya TET au UtumishiSio zote. Inategemea na mwajiri
View attachment 3068575
Hiyo ya juu mbona ni address tosha tena imeshiba kabisa, hiyo ya chini ni mbwembwe na kujaza karatasi tu...na nafikiri tangazo lolote la kazi lina address mwishoni, kwani Hilo halikuwa na address?Msaada wakuu, anwani (picha ya kwanza) ya kazi za wiki iliyopita (MDAs & LGAs). Mimi niliandika hivyo (picha ya chini) lakini kuna mtu kaniambia nimekosea kwa kuongeza hiyo MDA & LGA, na Asha rose migiro building. Je Address naiandika kama ilivyo juu na siongezi chochote au?. View attachment 3068596View attachment 3068595
Lilikua nayo ni hiyo ya juu, Ndio mara ya kwanza ku-apply kwahiyo tunaiga tu (address) ya mfano wa barua mtu aliokutumia haahaha.Hiyo ya juu mbona ni address tosha tena imeshiba kabisa, hiyo ya chini ni mbwembwe na kujaza karatasi tu...na nafikiri tangazo lolote la kazi lina address mwishoni, kwani Hilo halikuwa na address?
Ni kweli ulikosea kwenye anuani uliyoambiwa andika kama ilivyoMsaada wakuu, anwani (picha ya kwanza) ya kazi za wiki iliyopita (MDAs & LGAs). Mimi niliandika hivyo (picha ya chini) lakini kuna mtu kaniambia nimekosea kwa kuongeza hiyo MDA & LGA, na Asha rose migiro building. Je Address naiandika kama ilivyo juu na siongezi chochote au?. View attachment 3068596View attachment 3068595
Tumia address iliyoandikwa kwenye TANGAZONilikuwa naomba editor(TET) hapa adress nitumie ipi ya TET au Utumishi
Usipoitwa usaili unaandikiwa kosa lako pale, hvy watajifunza kwa vitendo.Tumia address iliyoandikwa kwenye TANGAZO
wakuu jitahidini sana kusoma tangazo lote mpaka mwisho
nyie ni wasomi,mnaulize maswali ya ajabu sana
Mfano ww ni mwalimu kabisa lakin tangazo hujasoma na unakuja kuuliza hapa😀😀
au sio.Usipoitwa usaili unaandikiwa kosa lako pale, hvy watajifunza kwa vitendo.
Si ndiooooo 😂au sio.
Mkuu hizo ajira zipo kwenye ajira portal na ndiyo maana nikaomba kama analo tangazo anisaidieTumia address iliyoandikwa kwenye TANGAZO
wakuu jitahidini sana kusoma tangazo lote mpaka mwisho
nyie ni wasomi,mnaulize maswali ya ajabu sana
Mfano ww ni mwalimu kabisa lakin tangazo hujasoma na unakuja kuuliza hapa😀😀
Ndio maana tunauliza ili tusikoseeUsipoitwa usaili unaandikiwa kosa lako pale, hvy watajifunza kwa vitendo.
Pakua tangazo www.ajira.go.tzMkuu hizo ajira zipo kwenye ajira portal na ndiyo maana nikaomba kama analo tangazo anisaidie