No SQL
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 7,063
- 12,563
Utawala2025 jiandae mambo yameiva
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu matokeo tayari uliwahi niuliza nimesoma course gani; vipi result uko.Human resource mkuu
nahis wataangalia Current address iliyojaza kwenye acc. yakounachagua mkoa wa kufanyia au
aloo assume ulijaza adress uko Kagera katika harakati za maisha ukaenda mkoa wa katavi hapo huoni itakuwa ni changamoto, why wasiweke mfumo wa mtu kufanyia mkoa wowote tu ilimradi details zake za mfumo ziko sawa na kwenye mkeka wa watu wa kufanya usahili yuponahis wataangalia Current address iliyojaza kwenye acc. yako
Mkuu nimepita oral sio kinyonge wa mwisho kabisa kwenye maxMkuu matokeo tayari uliwahi niuliza nimesoma course gani; vipi result uko.
Psrs heshima kwenu popote alipo.
Mkuu najua sitatoboa kwa nafasi hiyo na lengo langu mm ilikua kuingia oral tu kakaMkuu matokeo tayari uliwahi niuliza nimesoma course gani; vipi result uko.
Psrs heshima kwenu popote alipo.
hayo matokeo wameyaweka wapi..Mkuu nimepita oral sio kinyonge wa mwisho kabisa kwenye max
Kwenye akaunti yako mkuu ingiahayo matokeo wameyaweka wapi..
kwenye account si hua wanasema tu kua upo selected for oral sasa umejuaje kama umekua wa mwisho kwenye maxKwenye akaunti yako mkuu ingia
Komaa inaweza kuwa yako good luck, vizuri sana.Mkuu nimepita oral sio kinyonge wa mwisho kabisa kwenye max
Acha ujinga mdogo wangu,kwann unajikatia tamaa mwaisa hiyo nafasi ni yako Mungu yuko pamoja nawe,Hongera kwa kupita hatua ya mchujoMkuu najua sitatoboa kwa nafasi hiyo na lengo langu mm ilikua kuingia oral tu kaka
Utawala2025 ulisema hakuna usaili😁Mambo yameiva aisee
View attachment 3079515
Katupiga tango pori basi kama kwenye tovhti bado hawajaweka huwezi kuona alamakwenye account si hua wanasema tu kua upo selected for oral sasa umejuaje kama umekua wa mwisho kwenye max
Akasema ameambiwa na ndugu yake yupo utumishi..eti serikali haina pesa ya kuendesha mchakatoUtawala2025 ulisema hakuna usaili😁
😁😁 aliongea ivo ili tu watu msibishe lakin hana ndugu wala jirani hukoAkasema ameambiwa na ndugu yake yupo utumishi..eti serikali haina pesa ya kuendesha mchakato
Jibu hilo hapoaloo assume ulijaza adress uko Kagera katika harakati za maisha ukaenda mkoa wa katavi hapo huoni itakuwa ni changamoto, why wasiweke mfumo wa mtu kufanyia mkoa wowote tu ilimradi details zake za mfumo ziko sawa na kwenye mkeka wa watu wa kufanya usahili yupo
Katupiga tango pori basi kama kwenye tovhti bado hawajaweka huwezi kuona alama
Nafikiri anajifariji tu atakua amekula ndoige ndo maana anajiwahi najua sitapata[emoji23] kumbe kwenye akaunt kaandikiwa Not selected for oral interview,Mwaisa unatuangusha sasa
Magroup gan tenaMkeka upo nimeona kwenye ma group huko jamaa itakuwa kweli katoboa oral, kwanza kwanini adanganye? Mimi naamini kaingia oral na namtakia kila la heri kwenye safari yake.