Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Naomba kuuliza hivi hiyo mitihani ya online hizo computer zinakuwa connected na internet si ndio??
Kwa hiyo ni spidi yangu tu ku google
Internet ipo vizurii tu ila huruhusiwi ku google.
Kivipi mkuu na internet ipo
Uki Minimize au ukifungua new tab automatic system ina submit na unakua umefeli.
 
Nilikuwa siko hewani kwa siku kadhaa.

Nimeona leo nimetagiwa sana na watu wakidai mimi naogopa usaili naomba niwape historian fupi yangu na utumishi.

Mwaka 2022 nilifanya usaili wa utumishi nikakandwa kwa marks kidogo sikufanikiwa kufika Oral.

Mwaka 2023 mwanzoni nikafanya tena usaili nikakandwa.

Mwaka 2023 mwishoni nikafanya usaili katika Taasisi kubwa ya afya nikatoboa Hadi oral.
Hapa kidogo nilaanza kujipa matumaini ha kazi ila mpaka sasa Olaa japo database wanaendelea kuchukua.

Hivyo niwaweke wazi nimeshaandaa module za kutosha nimesharudi shule.

Mimi nilikuwa napinga usaili kwa sababu kadhaa.

Tamisemi walikuwa wanazoa zoa wanajua mishahara yao ni miduchu.

Ila tuachane na hayo watu wa afya tujipange na usaili kwa mimi nishazoea wala siogopi chochote.

Mniombee lakini msisahau.

Usiku mwema
Kwahiyo Braza upo kwenye Database toka 2023 mpaka leo ila jamani jamani sijui niwe chawa wa mama nipate chochote kitu
 
Kwahiyo Braza upo kwenye Database toka 2023 mpaka leo ila jamani jamani sijui niwe chawa wa mama nipate chochote kitu
Sasa database si ina mwaka au ww ndo haujaelewa mfano nmefanya oral mwaka jana November je database ime expire au bado
 
Naomba kuuliza hivi hiyo mitihani ya online hizo computer zinakuwa connected na internet si ndio??
Kwa hiyo ni spidi yangu tu ku google
Ukifungua Browser nyingine umejimaliza, system itasubmit pepa hapo hapo hata kama hujafanya swali lolote.

NB: Mliowahi kutumia hiyo Online mtanisahihisha hii kauli yangu
 
Sio kweli mkuu mfumo hautoi majibu hapo kwa hapo.
Ok
IMG-20240826-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom