Ashamery
Senior Member
- Mar 27, 2017
- 171
- 185
Uhakika!?Leo pdf linatoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhakika!?Leo pdf linatoka
Tujifariji mkuu tusikae kinyongeUhakika!?
La Call for Interview auLeo pdf linatoka
Mkeka upo nimeona kwenye ma group huko jamaa itakuwa kweli katoboa oral, kwanza kwanini adanganye? Mimi naamini kaingia oral na namtakia kila la heri kwenye safari yake.
Unamshaurije aliyepata 13😂 watu 270 wameshindwa kufika 50 lakin hawa wana GPA zilizo simama na div one za kutosha😂duh 275 wamepita wa-5...270 wamechoma nauli
hii ndio utumishi, Afya wajipange
Utawala2025Humu ndani kuna dingi alituambia Tamisemi wamewaambia utumishi wao hawana bajeti ya kuendeshea interview hivo watu tujiandae kupangiwa vituo vya kazi
Nikafurahi balaa naona jamaa wameuma meno hakuna kitonga lazima watu wakakandwe sijapenda ila sina namna
Mtandaoni tu hakuna jipya chini ya jua ila ni yale maswali konkiHizi amptitude test wanatunga au wanaokota madesa mtandaoni?
Hizo mbona nyingi... practical kuna raia wanakula 0Unamshaurije aliyepata 13😂 watu 270 wameshindwa kufika 50 lakin hawa wana GPA zilizo simama na div one za kutosha😂
Utumishi wa moto sana
Nimekua nikihidhuria mikando toka mwaka 2022. Katika mabadiliko haya, mikando inazidi kuwa migumu, mosi, coverage, aptitude inatoa fursa kwa wakandaji kutunga mkando kwa topic/modules/course nyingi zaidi.Unamshaurije aliyepata 13😂 watu 270 wameshindwa kufika 50 lakin hawa wana GPA zilizo simama na div one za kutosha😂
Utumishi wa moto sana
usifanye hasira mkuu hapa ndani sote ni wanoja ndo maana tunapeana mbinu namna ya kupasua kila mmoja anatamani mwenzake apasue kuwa na amani na kuwa mkweli unapofanikiwa maana unakuwa unamtia moyo mwingineNilijua tu mtafurahi kusikia sijatoboa umbwa ninyi ngoja litoke pdf miez kadhaa mbele nije nitoe ushuhuda
Wanatunga, kwa uzoefu wangu, kama kada ni accounts officer II katika maandalizi usikomae na financial accounting peke yake, japo job description zime-base katika hilo. Lazima ukomae na cost and management accounting, auditing na hata finance. Aptitude zinaumiza hasaa.Hizi amptitude test wanatunga au wanaokota madesa mtandaoni?
Ndio mkuu,ni ww tu na speed yakoNaomba kuuliza hivi hiyo mitihani ya online hizo computer zinakuwa connected na internet si ndio??
Kwa hiyo ni spidi yangu tu ku google
Huu wa utumishi hautoi marks hapo hapo mkuu,utaambiwa tu kwenye account yako selected or not selected for oral interview na baadaye marks kwebye pdfNdio, kama ni 50% utaiona imekuwa displayed, then baadae ndio zitafuata SELECTED, NOT SELECTED for Oral kupitia Akaunti za Ajiraportal na PDF ya matokeo
Yeah, ni kweli ulichoandika.Huu wa utumishi hautoi marks hapo hapo mkuu,utaambiwa tu kwenye account yako selected or not selected for oral interview na baadaye marks kwebye pdf
Mkuu ile interview picha linaanza walikuja na maaskari wameshika bunduki na lundo la viongozi mtihani unasindikizwa, walipokonya simu, saa haijalishi ni aina gani, hela, wallet muda lisaa limoja maswali matano objective na subjective matanoUnamshaurije aliyepata 13😂 watu 270 wameshindwa kufika 50 lakin hawa wana GPA zilizo simama na div one za kutosha😂
Utumishi wa moto sana
Bunduki zilikuja kuwatisha ili muzimie au 😀😀Mkuu ile interview picha linaanza walikuja na maaskari wameshika bunduki na lundo la viongozi mtihani unasindikizwa, walipokonya simu, saa haijalishi ni aina gani, hela, wallet muda lisaa limoja maswali matano objective na subjective matano
Maswali yana pande mbili challange na ways to overcome challanges
Muda tulipigwa sana unaambiwa bado dk 10 umefanya maswali mawili tu.
Lakini hizi hoja ni zaifu kwa aliepita kwenda oral mkuu hawezi kuzingatia ina maana kwa wastani kila swali unatakiwa kujibu ndani ya dk 6 bado muda wa kufikilia uchague ujibu lipi
Mtihani ulikua easy mpaka 4rs za mama zilikuepo
Experience is the best teacher ever
Mkuu sikuwahi huzulia interview since way back namaliza chuo 2021Bunduki zilikuja kuwatisha ili muzimie au 😀😀
Umepata experience mkuu kwa kifupi ulivyoeleza hapo vyote ni taratibu za mitihani ya psrs bilashaka utakuwa balozi mzuri na kuwaelekeza wengine wajiandae vyema wanapoenda kwenye pepa za utumishi
Kwa kifupi utumishi sio poa hawana dini😀 na unapata 5 au 0 huku unajiona
Kwahiyo mkuu hukupita kwenda oral au sioMkuu ile interview picha linaanza walikuja na maaskari wameshika bunduki na lundo la viongozi mtihani unasindikizwa, walipokonya simu, saa haijalishi ni aina gani, hela, wallet muda lisaa limoja maswali matano objective na subjective matano
Maswali yana pande mbili challange na ways to overcome challanges
Muda tulipigwa sana unaambiwa bado dk 10 umefanya maswali mawili tu.
Lakini hizi hoja ni zaifu kwa aliepita kwenda oral mkuu hawezi kuzingatia ina maana kwa wastani kila swali unatakiwa kujibu ndani ya dk 6 bado muda wa kufikilia uchague ujibu lipi
Mtihani ulikua easy mpaka 4rs za mama zilikuepo
Experience is the best teacher ever
GPA siyo kigezo cha kuwa mtu ana akili kichwani. GPA nyingine huwa za kupikwa tu.Unamshaurije aliyepata 13😂 watu 270 wameshindwa kufika 50 lakin hawa wana GPA zilizo simama na div one za kutosha😂
Utumishi wa moto sana