pelius laurent
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 331
- 601
Hapa sina uhakika🤔Asee Kwa hiyo hao jamaa wa utumishi wanakaza hata kwa watoto wa vigogo😂
Kuwa chujio la watoto wa vigogo na sisi wagonga ulimbo ni moja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa sina uhakika🤔Asee Kwa hiyo hao jamaa wa utumishi wanakaza hata kwa watoto wa vigogo😂
Kuwa chujio la watoto wa vigogo na sisi wagonga ulimbo ni moja?
Aendelee kujaribu system itakubali baadaeMedical lab technology
Ila hii ndio mbaya sana koz wanaanzia topic ya kwanza hadi mwisho unatakiwa usome kila kitu aiseeeNakubaliana na wewe sababu ni MCQS ambapo kila topic/module inaweza kutoa swali.
Kwenye written ya kuandika kwenye karatasi ndio topics chache zilikuwa zinatolewa hasa swali likiwa la kuelezea
Shukrani mkuuAendelee kujaribu system itakubali baadae
Mkuu subiri filimbi italia tu, mbona bado mapema ndo kwanza deadline ilikuwa juzi hapoWakuu hivi interview ya MDA NA LGA wanaita lini kufanya interview
Maksi wanazotoa pekee NI za written interview kuingia oral, lakini za oral hawatoi subiria pdf na databaseHuu wa utumishi hautoi marks hapo hapo mkuu,utaambiwa tu kwenye account yako selected or not selected for oral interview na baadaye marks kwebye pdf
Lini hiyo itakuaoya afya tukakandwe sasa wameachia lipdf pitieni akaunti zenu
Zinaanzq tarehe ngpi?kila lakheri kwenuoya afya tukakandwe sasa wameachia lipdf pitieni akaunti zenu
tarehe tano septemba hapoZinaanzq tarehe ngpi?kila lakheri kwenu
naona written tarehe tano oral kumi na mbili huko, sasa sijajua kwa akaunti yangu naona notification ya written tu ya tarehe tanoLini hiyo itakua
Written - oral au
Written -practical- oral ?
Kuwa mpole mkuu sisi tume apply june mpaka leo kimya yani inabidi kusoma kila siku ili usisahau.Wakuu hivi interview ya MDA NA LGA wanaita lini kufanya interview
Notification ni kwenye akaunti yako mkuuWakuu, mbona sioni hiyo pdf ya interview ya watu wa afya au wametumiwa kwenye akaunti zao?
Acha umbea njoo kwa acc zetu wiki ijayo tunaanza kukandwaWakuu, mbona sioni hiyo pdf ya interview ya watu wa afya au wametumiwa kwenye akaunti zao?
ni kada ipi mkuuWatu wa afya application wamefanya juzi juzi tu eti leo wameitwa sisi toka june holaaa hii sio haki