Datascientist
Senior Member
- Jul 23, 2024
- 107
- 291
Hili neno mkando sijua kukandwa mimi silipendi naomba muache kulitumia linakera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ict officerni kada ipi mkuu
I hope wataita soon hawa wa afya nasikia Tamisemi walikuwa wana uhitaji nao wa haraka labda ndio maana mchakato unapelekwa haraka haraka hivoIct officer
I hope wataita soon hawa wa afya nasikia Tamisemi walikuwa wana uhitaji nao wa haraka labda ndio maana mchakato unapelekwaIct officer
Hizi zipo kisiasa lazima ziwahishweWatu wa afya application wamefanya juzi juzi tu eti leo wameitwa sisi toka june holaaa hii sio haki
Mkuu wa IT mbona unataka kuharakisha kukandwa. Tulia ujipange uusome mchezo, waache kwanza afya walete mrejesho ili ujue wapi panapovuja. Usiwe na haraka utaitwa soonWatu wa afya application wamefanya juzi juzi tu eti leo wameitwa sisi toka june holaaa hii sio haki
Hizi zipo kisiasa lazima ziwahishwe
Washenzi hawa watu tuna mambo mengi sana inatakiwa tufanye tuwe tunafatilia pdf tuKuwa mpole mkuu sisi tume apply june mpaka leo kimya yani inabidi kusoma kila siku ili usisahau.
Ongeza received ya Water Institute ile ya network administrator maana wengi ilkuwa inagoma...leo deadline imekubaliIct officer
Asante kaka ngoja nijilipueOngeza received ya Water Institute ile ya network administrator maana wengi ilkuwa inagoma...leo deadline imekubali
Haina Shida kabisa, Sababu kuna wanaohudhuria, wanakosa nyaraka moja, wanatimuliwa kama mbwa koko.Hivi mtu akiwa shortlisted kwenye written interview, hasipohudhuria.
Hakiwezi kumletea shida huko mbeleni kwenye kuomba nafasi nyingine.
Kutimuliwa kama mbwakoko.Haina Shida kabisa, Sababu kuna wanaohudhuria, wanakosa nyaraka moja, wanatimuliwa kama mbwa koko.
huwa wanapewa maelekezo alafu unajaza form yao pale ndio unaondoka....Haina Shida kabisa, Sababu kuna wanaohudhuria, wanakosa nyaraka moja, wanatimuliwa kama mbwa koko.
Mbona washa upload kitambo mkuuNaona usaili wa watu wa afya hazijawekwa wazi kama kawaida ya PSRS, ila unatakiwa kuangalia akaunti yako, kwahy kama hakuna mabadiliko yoyote hvy n umefeli au 😂
Oh ndo nmeona sa h mana mara ya kwanza nachek haikuwepoMbona washa upload kitambo mkuu
kashachezea 🤣 🤣Katupiga tango pori basi kama kwenye tovhti bado hawajaweka huwezi kuona alama
Nafikiri anajifariji tu atakua amekula ndoige ndo maana anajiwahi najua sitapata😂 kumbe kwenye akaunt kaandikiwa Not selected for oral interview,Mwaisa unatuangusha sasa