No SQL
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 7,063
- 12,563
dah IT katukaushia kweli...Hakuna Pdf sikuizi wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah IT katukaushia kweli...Hakuna Pdf sikuizi wakuu
IT hataki Database iishe nin? maana kuna wengine wanakuja ukoIt fanya mambo vijana walete shuhuda, huu mwaka wetu ...... We are champion 🏆
Fact mzee tuondoke kitaa au tumchinjie kukuIT hataki Database iishe nin? maana kuna wengine wanakuja uko
mkuu TRC hukupata au nimechanganyaFact mzee tuondoke kitaa au tumchinjie kuku
Mkuu mi nasubiri kwingine sio uko.mkuu TRC hukupata au nimechanganya
Kuna kubadilisha kwani au mkuu we ni mmoja mtoto wa 'you know me I know you'Mkuu mi nasubiri kwingine sio uko.
Utumishi akili zitakuwa kwenye saili za afya maana zina per deim ya kutosha.IT hataki Database iishe nin? maana kuna wengine wanakuja uko
Hahaha 🤣 🤣 🤣 mzee mi mkongwe umu kuzidi wewe nimeangaika vya kutoshaKuna kubadilisha kwani au mkuu we ni mmoja mtoto wa 'you know me I know you'
Aaah poa mkuu nlijua una 'watu' uko juu...Hahaha 🤣 🤣 🤣 mzee mi mkongwe umu kuzidi wewe nimeangaika vya kutosha
Enzi za kina mwifwa pmj na wizy nipo ila mda wangu naamini unakalibia.
Vipi uko status zako zikoje web na appAaah poa mkuu nlijua una 'watu' uko juu...
Selected For oral..Vipi uko status zako zikoje web na app
Kwan vp mkuu mbona unaulizia sana status naona mpk unafukua makaburiVipi uko status zako zikoje web na app
Ziliwahi kunitoa nishai uko nyuma ikiwa ivo kwa wadau naona uko safe tuzidi kumuomba Mungu tupate placementKwan vp mkuu mbona unaulizia sana status naona mpk unafukua makaburi
Leo na Kesho muwe na bandle la kutosha.IT hataki Database iishe nin? maana kuna wengine wanakuja uko
Na iwe hivyo mkuu...tusogee sogee kwenye foleniLeo na Kesho muwe na bandle la kutosha.
Trust the process
Aptitude testHeloo Engineers wa umeme
Mnatumia references gan huko kujisomea kwa ajili ya amptitude test?? Em kujeni tujifue
Typing errorAptitude test
Uwe unafanya proof reading mkuu kabla hujatumaTyping error