Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Na mwenye not selected for practical interviews na wakati Hana option ya practical. Hii nayo imekaje
Kutokana na research na wadau wengi walivyosema umu ndani ukiona not selected ujue umeliwa kichwa

Hakuna mtu alipata placement ana hiyo not selected

Mapambano yaendelee.
 
Nadhani ndo kitu cha kupambania maana hizi taasisi hatujapata mpaka leo na oral tulifanya.

Ngoja Tuangalie hivi za afya maana mwajiri mkoa.

Mm niliomba mkoa ambao kila mtu anauogopa
Wapi uko kunaogopwa

Ila kaza mkuu naamini utapita maisha popote Afu mchawi miradi ya kutosha kutoboa kupo.
 
Nafasi nyingi watu wamekimbilia sijui dodoma,arusha,mbeya,mwanza mimi nimeomba Sumbawanga ..

Nikipata check number nitahama mwaka wowote au ninaweza kubaki huku huku
Mkuu kote uko kuna watu, ila basi Tu tushajijengea Ka hofu iv, na siajabu uko ndo unatoboa Zaidi vizuri mpaka unaeza usitaman kuhama, kikubwa kufikir nje ya boksi mshahara pekee hautoshi fursa NI nyingi Sana kikubwa kianzio tu
 
Tuendelee tu kuwakumbusha walimu wajipange, wasije kuja na malalamiko. PSRS huwa wanakanda haswa.
 

Attachments

  • psrs.jpg
    psrs.jpg
    74.4 KB · Views: 10
Nafasi nyingi watu wamekimbilia sijui dodoma,arusha,mbeya,mwanza mimi nimeomba Sumbawanga ..

Nikipata check number nitahama mwaka wowote au ninaweza kubaki huku hukum
Kaza mkuu Mungu akubaliki katika mapambano yako naamini tunatoboa mwaka huu.
 
Back
Top Bottom