Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ndugu wakandaji wa PSRS punguzeni hasira na jobless na sisi tuna familia zinatutegemea jamani. Sio kwa matokeo haya. Yaani mpo radhi asipate asali mtu yeyote. SIJAPENDAView attachment 3098877
Ni namba za viatu mpaka basi , ninyi waalimu manesi na maeendeleo ya jamii msicheke aisee
Huyu mwenye mbili ana GPA ya 4.6
Maanina
😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom