Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mtumishi Bana wanatukosea sana.

Kulikuwa haina haja ya kurundika idadi kubwa ya watu kwenye database na wanajua kabisa ni ngumu kuimaliza.
 
Tpain mzee wa taharuki upooo ?
Kweli kutafuta kazi Bongo nayo ni kazi , yaani kuna kutafuta ajira ni ajira kabisa .
Kweli kua uyaone
 
Huwezi amini Leo ndio nimeelewa maana ya huu uzi...

Kazi ipo 😁😁😁
Mpaka uthemeee😁😁 na jibu halijawah patikanaaaa, vile vile utumishi wanazidi kulifanya hili swali kuwa gumu zaidi, nikijiangalia mwenyewe na ndevu zangu kitaa naona Aibu maana sina muelekeo🥴🥴
 
Mpaka uthemeee😁😁 na jibu halijawah patikanaaaa, vile vile utumishi wanazidi kulifanya hili swali kuwa gumu zaidi, nikijiangalia mwenyewe na ndevu zangu kitaa naona Aibu maana sina muelekeo🥴🥴
Kazi kweli kweli 🤣🤣 🤣 na hapo mzee anakwambia hajui cha utumishi 😂 yeye anachosema ni

"Uliniambia nikusomeshe kozi yako mnapiganiwa maofisini mnahitajika sana enyi".

Hapo ndio kichwa kinakuwa cha moto 🔥
 
Back
Top Bottom