Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Soon tuu hapo, hesabu pdf tano tuu 🔥🔥🔥ulisema huu mwaka unatuaga isijekua kweli 🤣 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soon tuu hapo, hesabu pdf tano tuu 🔥🔥🔥ulisema huu mwaka unatuaga isijekua kweli 🤣 🤣
Sawa piga kazi1. Kwa nini uhatalishe nafasi ya boss wako?. Haliyakua boss wako anafanya kazi professional na wewe unafanya kazi professional?. Kama utataka kupeleka majungu juu Ili boss wako atimuliwe Ili uchukue nafasi wewe basi utatimuliwa haraka sana.
2. Kupanda cheo na mshahara inategemea na taasisi hili si private wala government, mfano Magufuli Tangu anaingia 2015 na mpaka anaondoka 2021 alipandisha mishahara kwa kiwango gani hapo Serikalini?. Mimi mahala nilipo na miaka 2 naenda mwaka 3. Lakini mwaka wa kwanza kwenda wa pili nilipandishiwa mshahara kwa 7% , mwaka unaofata mshahara wangu ulipanda kwa 33%. Sasa utasema kupanda mshahara kwangu nichangamoto?.
3. Ukiona majukumu yako ya kazi hayaeleweki basi hio sio kazi bali ni kibarua. Lakini pia kwenye kazi zakueleweka private sector huwa wanaomba mtu kua flexible, let's say mm nafanya kazi kama Electric eng, then kazini mtu wa Clearing kapata dharula inatakiwa nijifunze kazi za watu wengine Ili inapotokea dharula niweze ku cover. Getini wanaajiriwa kk security au G4S au kampuni yeyote ya ulinzi unaweza vipi hamishiwa kwenye kazi za ulinzi huku si muajiriwa wa kampuni hizo.
4. Ukiona kazi haina future kwako basi hio kazi si kwa ajili yako mkuu.
Ishu ya kwanza kabisa ni je hiyo private entity ni well established?Labda kama huna vigezo nikukumbushe tu...
1: Private unaweza kutimuliwa muda wowote boss akihis unahatarisha nafas yake
2: kupanda cheo na mshahara apo private ni mtihan sana
3: Majukum yako ya kazi hayaeleweki, kesho unaweza kuhamishiwa ata getini
Nimefanya kazi private nikafanikiwa kupata nyumba...lakin ukiwaza zaid unaona future hakuna
sawa bana na iwe hivyoSoon tuu hapo, hesabu pdf tano tuu 🔥🔥🔥
Mungu akutangulie.Soon tuu hapo, hesabu pdf tano tuu 🔥🔥🔥
Private yenye amani ni ile inayoongozwa na wazungu 😀Ishu ya kwanza kabisa ni je hiyo private entity ni well established?
Ni taasisi ambayo inahofia reputation yake na ishu kama hizo? Mfano unafanya kazi kama Regional Sales Manager wa CocaCola kwanza ya Mengi na mwingine Regional Sales Manager wa Coca ya yule jamaa wa Mwanza.
Hawa ni watu wawili tofauti. Kuna mmoja mambo matatu au yote katika scenario yako anaweza akakutana nayo.
Nafanya kazi kwenye DEPOT ya mafuta, sio wabongo, sio warabu, wala sio wahindi. Namshukuru Mungu hapa nilipo Ili nitoke labda nifukuzwe au unilipe mshahara mara 4 ya huu naopata lkn hata kama uki double/triple bado siwez kuondoka.Private yenye amani ni ile inayoongozwa na wazungu 😀
Hahahaa, tuishi mkuuMkuu Mungu akubariki sana tena sana.. yaani umepata job but Bado Wana hujatutupa unaendelea kutupa moyo. Ubarikiwe sana. Baki na moyo huwo huwo
Nenda kapige interview mkuu. Ukikwama tukuchangie hata nauli🤝 Nakubali
Panda Shabiby ya saa 2 au 3 usiku, utafika Dom mida ya saa kumi alfajiri, then utajipumzisha kidogo hapo ofisi za Shabiby Dom(kuna sehemu ya abiria kupumzika/kulala) pakipambazuka unasepa zako kuelekea kwenye venueNiko Dar afu n safari ya kwenda Dodoma, sasa ht cjui naenda kulala wap, last time nilienda Kwa mshikaji wangu ambaye kwa sasa hayupo tena dom [emoji24]
Waswiss sioNafanya kazi kwenye DEPOT ya mafuta, sio wabongo, sio warabu, wala sio wahindi. Namshukuru Mungu hapa nilipo Ili nitoke labda nifukuzwe au unilipe mshahara mara 4 ya huu naopata lkn hata kama uki double/triple bado siwez kuondoka.
Dah 😅😅 hii ni kweliPrivate yenye amani ni ile inayoongozwa na wazungu 😀
Kaka nenda kapige 28 wachache sana kakaRaia tupo 28 [emoji24]
Dah ht bado cjui nifanyeje [emoji24]
Sio wazungu wote Mkuu ogopa kufanya kazi na wazungu kutoka UK au Finland yani ukisika roho mbaya plus ubahiri apo ndio nyumbaniPrivate yenye amani ni ile inayoongozwa na wazungu 😀
Jiandae na practical za Electrical machines kudadadeki ,madude ya blocked rotor - free rotor nkSasa ndugu yangu hii practical si litakua bomu hili,hata nikiwaza sijui ni practical ya aina gani asee
Mwende mkatengeneze mabomu huko muwàlipue wafanyakazi wa utumishi wakome tabia ya kutotoa mikekahatari si unaona ni makao makuu kabisa kwenye mamitambo kule.
Asante sanaUnapewa scenario uchore ERD nmekupa moja prack. Ya db
🤣🤣🤣🤣🤣🤣sasa nimewaza hapo tumechanganyika na watu wa telecom,hyo interview naona itabase na telecom tu asee mambo mukidee,,Temesa na TAA bado hawajaitaaJiandae na practical za Electrical machines kudadadeki ,madude ya blocked rotor - free rotor nk
Machine 1 and 2 na electronics modules na practicals zake
Halafu hayo mazaga yanasahaulika kishenzi ,mi Sikumbuki hata
Sasa na hiyo practical maanina , na zile practical za Electrical si za mchezo mchezo kuna watu watakula zero hapo.
Hizi kazi mimi sikuomba .
Umeitwa Temesa au TAA ?
Kila la heri