Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Habari za asubuhi wataalamu,
Ninaomba kuuliza swali , mnamo mwezi wa nane nilifanikiwa ku apply nafasi 4 kwa taasisi nne tofauti kwa kada yangu . Lakini post moja matokeo ya shortlist yametoka na sijafanikiwa kuwa shortlisted kwa sababu ya cheti cha kuzaliwa kutokuwa certified na advocate au magistrate.

Je , nifanye nini ili niweze kuwa shortlisted kwa post zilizobaki ikiwa nilishawahi kuomba nafasi tano tofauti hapo nyuma (2022-2023) na zote nilikuwa shortlisted na kufanya interview.

Natanguliza shukurani ndugu zangu.
kacertify cheti alafu delete icho zamani uweke icho utakachocertify.ufanye fasta sasa
 
Habari za asubuhi wataalamu,
Ninaomba kuuliza swali , mnamo mwezi wa nane nilifanikiwa ku apply nafasi 4 kwa taasisi nne tofauti kwa kada yangu . Lakini post moja matokeo ya shortlist yametoka na sijafanikiwa kuwa shortlisted kwa sababu ya cheti cha kuzaliwa kutokuwa certified na advocate au magistrate.

Je , nifanye nini ili niweze kuwa shortlisted kwa post zilizobaki ikiwa nilishawahi kuomba nafasi tano tofauti hapo nyuma (2022-2023) na zote nilikuwa shortlisted na kufanya interview.

Natanguliza shukurani ndugu zangu.
Hi ni ngumu,sababu taarifa watakazo tumia ni zile zilizokuwa kwenye mfumo mpaka mwisho wa deadline
 
Hi ni ngumu,sababu taarifa watakazo tumia ni zile zilizokuwa kwenye mfumo mpaka mwisho wa deadline
Okay sawa kiongozi lakini ninachojiuliza ni kuwa nilikuwa shortlisted kwa post tano nyuma kabla ya hizi za August mwaka huu.

Cheti cha kuzaliwa kilikuwa certified chini ya district registrar .
 
Okay sawa kiongozi lakini ninachojiuliza ni kuwa nilikuwa shortlisted kwa post tano nyuma kabla ya hizi za August mwaka huu.

Cheti cha kuzaliwa kilikuwa certified chini ya district registrar .

Cheti cha kuzaliwa kiko certified au ha kiko certified?

Kama kiko certified, Wapigie simu au nenda ofisi zao waambie watakueka kama additional list
 
Habari za asubuhi wataalamu,
Ninaomba kuuliza swali , mnamo mwezi wa nane nilifanikiwa ku apply nafasi 4 kwa taasisi nne tofauti kwa kada yangu . Lakini post moja matokeo ya shortlist yametoka na sijafanikiwa kuwa shortlisted kwa sababu ya cheti cha kuzaliwa kutokuwa certified na advocate au magistrate.

Je , nifanye nini ili niweze kuwa shortlisted kwa post zilizobaki ikiwa nilishawahi kuomba nafasi tano tofauti hapo nyuma (2022-2023) na zote nilikuwa shortlisted na kufanya interview.

Natanguliza shukurani ndugu zangu.
Hapo Certify cheti hicho kwa ajili ya kuombea nafasi zingine zijazo.
 
Hi ni ngumu,sababu taarifa watakazo tumia ni zile zilizokuwa kwenye mfumo mpaka mwisho wa deadline
Hamna ukweli juu ya hili mkuu kikubwa a certify sasa otherwise shortlist ilifanyika siku ile ile alipo omba kazi kabla hata deadline.

Lkn aki certify sasa anakuwa shortlisted.
 
Me naongea kulingana na kitu kilichonitokea, pia sijakataa hasiweke kilichokuwa certified
Mkuu bas hata mimi itanikuta hii maana vyeti vyote nili certfy baada ya deadline mkuu ila maombi nilituma ndani ya siku husika

Na chet cha kompyuta ndio kabisa sija ki certfy mkuu😳😳😳
 
Aisee huyo jamaa kanitisha sana mkuu kasema ana experience mean ishawai mtokea
Tuliza wenge malafyale certify icho cheti cha computer na utaitwa nina hakika na hili

Wanavyo select majina ndio wanaangalia vyeti sio nyuma wakati unafanya application

Good luck champion
Tuliza wenge malafyale certify icho cheti cha computer na utaitwa nina hakika na hili

Wanavyo select majina ndio wanaangalia vyeti sio nyuma wakati unafanya application

Good luck champion
 
Hamna ukweli juu ya hili mkuu kikubwa a certify sasa otherwise shortlist ilifanyika siku ile ile alipo omba kazi kabla hata deadline.

Lkn aki certify sasa anakuwa shortlisted.
Sio kweli data wanazotumia ku shortlist ni zile ulizoombea kama deadline ilishapita hapo ni kuCertify asubiri saili zijazo.
 
Back
Top Bottom