Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Leo tar 13 hatujapata check number na tumekuwa na wasiwasi wa kuenda kukosa mshahara WA mwezi huu.

Maana Hospitali X ya rufaa niliyokuwepo juzi watu sita Tu ndio waliopata check numbers Kati ya watu 100.

Hr leo tumemfuata Kwa hasira Sana amesema issue ya check numbers ni Makao makuu Dodoma na hazina yeye anatumia check numbers Tu.

So kasema tumrudie tar 18 anadai zinaweza kutoka japo Kwa upande wangu nimekuwa na wasiwasi juu ya hili suala.
N
Mbona mnatutisha sasa ambao tunapambania kuingia uko??😁😁
 
Tunaambiwa Leo huko Arusha Kuna kada waliitwa 650 wameenda 90 tu, jobless wameisha au wamechoka?
Mambo ni magumu ground+ drama anazofanya PSRS...unaishia 😀😀😀😀
Alafu anatokea boss PSRS anasema Database mwaka mmoja hata aibu hawaoni drama wanazofanya mwisho wa siku jobless tunaona PSRS kama station ya vichekesho ndo hayo yanatokea ....
Inasikitisha sanaa mwenendo wao Utumishi..
 
Haya majina ya Mda/Lga ni ya wale walio apply mwezi wa nane mwaka huu? Mbona mm sijaliona jina langu na status bado imeandika Received
 
Sasa nani anataka kulipwa laki tatu mkuu maisha haya na bado upelekwe Mpimbwe ukaendeshwe na diwani wa la saba.. Rekebisheni scale za halmashauri uone watu wanavyojitupia
Subiri basi za taasisi upambane na watoto wa vigogo.
 
Back
Top Bottom