Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo senge lililovaa njano nalichukia,kuna kipindi nilisahau tu kuchukua ID likanikazia hadi ikabidi niende kwa serikali za mitaa pale makuru kuchukua barua ya utambulisho.Wakandaji wako mapumzikoni
View attachment 3182877
Uliweza kufanya Interview siku hiyo hiyo?Hilo senge lililovaa njano nalichukia,kuna kipindi nilisahau tu kuchukua ID likanikazia hadi ikabidi niende kwa serikali za mitaa pale makuru kuchukua barua ya utambulisho.
NdioUliweza kufanya Interview siku hiyo hiyo?
Bila shaka ilikuwa Oral maana kutumia muda mrefu kusaka barua na ukafanya, kwenye written usingewezaNdio
Hivi wanapochukua kutoka Database, wanamaanisha ni mtu lazima awe amefanya hata interview yoyote ndani ya huo mwaka au ukituma document ikawa received tu unakuwa kwenye Database. Hebu nisaidie kuelewa Mkuu.Hakikisheni mnaongeza received kama mna sifa kwa kila nafasi inayotangazwa
Mkuu Hapa ni mpaka uwe umefika oral interviewHivi wanapochukua kutoka Database, wanamaanisha ni mtu lazima awe amefanya hata interview yoyote ndani ya huo mwaka au ukituma document ikawa received tu unakuwa kwenye Database. Hebu nisaidie kuelewa Mkuu.
Mkuu hata hujakandwa uwe data base?Hivi wanapochukua kutoka Database, wanamaanisha ni mtu lazima awe amefanya hata interview yoyote ndani ya huo mwaka au ukituma document ikawa received tu unakuwa kwenye Database. Hebu nisaidie kuelewa Mkuu.
Shukran mkuuMkuu Hapa ni mpaka uwe umefika oral interview
Hongera mkuuMERRY CHRISTMAS WAKUU
Njoo pm mdogo anguTupeane connection ndugu zangu okoeni uhai huku