Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Unajua ndomana Taasisi nyingine ziliamua kuajiri zenyewe kwa kuendesha sahili zao, uchele weshaji wa mchakato wa kupata watumishi wapya kama ilivyo sasa pale utumishi ilikuwa ni moja ya sababu zao kubwa pia ndio maana waliona mlolongo ni mrefu sana kupitia kwao na kuamua kujitegemea wenyewe.
Utumishi ishakuwa upuuzi ,ni bora tu Taasisi waanze kuajiri wenyewe moja kwa moja ijulikane moja ,nilikuwa nawatetea sana utumishi humu ,ila kwa huu ujinga hamna namna ,huu ni useng€
Taasisi waajiri wenyewe atakayepata na apate atakaye kosa maisha yaendelee ,
 
Unajua ndomana Taasisi nyingine ziliamua kuajiri zenyewe kwa kuendesha sahili zao, uchele weshaji wa mchakato wa kupata watumishi wapya kama ilivyo sasa pale utumishi ilikuwa ni moja ya sababu zao kubwa pia ndio maana waliona mlolongo ni mrefu sana kupitia kwao na kuamua kujitegemea wenyewe.
Hata TRA sidhani kama watarudi tena kwa hawa waseng€ ,NSSF pia sioni hata wakijaribu ,wapuuzi hawa wa utumishi wabaki na vijiwe uchawi , incompetence na Majungu vya halmashauri huko
 
Vijana bana
Yani kwa sababu ya haraka zako ndio unataka utumishi waache kuajiri?
Hivi hizo taasisi mnazotaka ziwe zinaajiri zenyewe enzi zile zilipokua zinaajiri zenyewe mlikua mmezaliwa?
Shukuruni Mungu sana utumishi wako fair sana coz kila mtanzania anapata equal chance ya kuajiriwa ilimradi ufaulu interview zao tu.changamoto ndogo ndogo hazikosekani kila mahali.
 
wenye degree zenu za ITna connections muende usail wa migration huko January 15 sema ajira za jeshi ni ubaguzi mwingi sana aisee awa umbwa mamaaaaaeee
 
Vijana bana
Yani kwa sababu ya haraka zako ndio unataka utumishi waache kuajiri?
Hivi hizo taasisi mnazotaka ziwe zinaajiri zenyewe enzi zile zilipokua zinaajiri zenyewe mlikua mmezaliwa?
Shukuruni Mungu sana utumishi wako fair sana coz kila mtanzania anapata equal chance ya kuajiriwa ilimradi ufaulu interview zao tu.changamoto ndogo ndogo hazikosekani kila mahali.

Fact 100%.
 
Vijana bana
Yani kwa sababu ya haraka zako ndio unataka utumishi waache kuajiri?
Hivi hizo taasisi mnazotaka ziwe zinaajiri zenyewe enzi zile zilipokua zinaajiri zenyewe mlikua mmezaliwa?
Shukuruni Mungu sana utumishi wako fair sana coz kila mtanzania anapata equal chance ya kuajiriwa ilimradi ufaulu interview zao tu.changamoto ndogo ndogo hazikosekani kila mahali.
Wewe unaweza subiri interview miez nane mpk tisa?
 
Hata TRA sidhani kama watarudi tena kwa hawa waseng€ ,NSSF pia sioni hata wakijaribu ,wapuuzi hawa wa utumishi wabaki na vijiwe uchawi , incompetence na Majungu vya halmashauri huko
Permanent Secretary,
Presidents Office,
PSPR,
Utumishi House/Asha Rose Mwigiro Building,
P.O. BOX ......
DODOMA.

Barua hii imewafikia Mwaka mzima wamekaa na barua hakuna interview hakuna nini, pongezi kwao
 
Vijana bana
Yani kwa sababu ya haraka zako ndio unataka utumishi waache kuajiri?
Hivi hizo taasisi mnazotaka ziwe zinaajiri zenyewe enzi zile zilipokua zinaajiri zenyewe mlikua mmezaliwa?
Shukuruni Mungu sana utumishi wako fair sana coz kila mtanzania anapata equal chance ya kuajiriwa ilimradi ufaulu interview zao tu.changamoto ndogo ndogo hazikosekani kila mahali.
Punguza kiwango cha ufala mkuu, kitu km hakijakugusa haujui kinauma kiasi gani wewe unaweza kusubiria interview mwaka mzima?
 
Utumishi ishakuwa upuuzi ,ni bora tu Taasisi waanze kuajiri wenyewe moja kwa moja ijulikane moja ,nilikuwa nawatetea sana utumishi humu ,ila kwa huu ujinga hamna namna ,huu ni useng€
Taasisi waajiri wenyewe atakayepata na apate atakaye kosa maisha yaendelee ,
Hakika kabisa mimi nakuunga mkono huu ni usengenyaji kabisa utumishi wajitafakari mara 6 sio kwa maswaibu haya yanayoendelea watu wanakula msoto mkali mno
 
Back
Top Bottom