Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wamemchinja kote hawampa shortlist hata moja zote wamefyeka hao ajiraportal wana sonona sio siri huyo admin wao hana huruma anaishi na msongo wa mawazo
Wabongo mna matatizo ya akili afu mkikatwa mnakuja kulalamika, ushaambiwa n utaratibu wao hakuna kuomba mara mbili kwenye taasisi moja afu ww unakuja kusema wana msongo wa mawazo, dah ww jamaa jitambue bc
 
Wabongo mna matatizo ya akili afu mkikatwa mnakuja kulalamika, ushaambiwa n utaratibu wao hakuna kuomba mara mbili kwenye taasisi moja afu ww unakuja kusema wana msongo wa mawazo, dah ww jamaa jitambue bc
Mkuu nawaambia hawaelewi. Mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote. Hapo hakuna cha mshika mawili moja humponyoka mkuu
 
Mkuu nawaambia hawaelewi. Mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote. Hapo hakuna cha mshika mawili moja humponyoka mkuu
Afu mtu anakuja kulalamika 😂 acha wanyooshwe na utumishi
Mtu mpaka ameweka screenshot kuonyesha hutakiwi kuomba mara mbili afu mpuuzi mmoja anakuja kusema ety utumishi wana msongo wa mawazo 😂
 
Afu mtu anakuja kulalamika 😂 acha wanyooshwe na utumishi
Mtu mpaka ameweka screenshot kuonyesha hutakiwi kuomba mara mbili afu mpuuzi mmoja anakuja kusema ety utumishi wana msongo wa mawazo 😂
Kuwa muelewa basi bro, kuna ambao wali apply kipindi cha nyuma, na huu utaratibu wa multiple selections hukuwa unajulikana
 
Afu mtu anakuja kulalamika 😂 acha wanyooshwe na utumishi
Mtu mpaka ameweka screenshot kuonyesha hutakiwi kuomba mara mbili afu mpuuzi mmoja anakuja kusema ety utumishi wana msongo wa mawazo 😂
Wacha mwisho wa siku tutamuona mwenye sonona kati ya utumish na applicants
 
Afu mtu anakuja kulalamika 😂 acha wanyooshwe na utumishi
Mtu mpaka ameweka screenshot kuonyesha hutakiwi kuomba mara mbili afu mpuuzi mmoja anakuja kusema ety utumishi wana msongo wa mawazo 😂
Admin ajiraportal sonona inamtafuna maana sio kwa kuroga huku kwa hawa wanaoomba nafasi za interview watu wanamroga mpaka admin
 
TRA pia hukuchagulia position moja tu kwaajili ya interview regardless umejiona unafit kote namna gani
Za kuambiwa Changanya na zako sasa wewe jitie mbishi ufyekelewe mbali maana kifuatacho ni kuchapwa mtachapwa
 
Back
Top Bottom