Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mmm
Katika Shortlist vigezo walivyoweka lazima waangalie vyote.

Kama kigezo umekiacha unakuwa umekosa sifa ya kuwa shortlist.

Kuwa shortlist sio kwamba umepata nafasi, hiyo ni hatua moja kati ya hatua nyingi.

Hivyo ili uweze kusonga mbele kwenye hatua zote inabidi kila hatua usiikosee.

Hivyo, jamaa katahadharisha kuhusu anwani jinsi ilivyoandikwa kwenye tangazo ili kuepusha watu kukosea jambo dogo kama hilo na hatimaye waweze kuwa shortlist kwenda hatua nyingine
Katika Shortlist vigezo walivyoweka lazima waangalie vyote.

Kama kigezo umekiacha unakuwa umekosa sifa ya kuwa shortlist.

Kuwa shortlist sio kwamba umepata nafasi, hiyo ni hatua moja kati ya hatua nyingi.

Hivyo ili uweze kusonga mbele kwenye hatua zote inabidi kila hatua usiikosee.

Hivyo, jamaa katahadharisha kuhusu anwani jinsi ilivyoandikwa kwenye tangazo ili kuepusha watu kukosea jambo dogo kama hilo na hatimaye waweze kuwa shortlist kwenda hatua nying
Mmh ni changamoto hii sasa itakuwaje mkuu tu edit tulioandika bila kuweka TRA kaka
 
Katika Shortlist vigezo walivyoweka lazima waangalie vyote.

Kama kigezo umekiacha unakuwa umekosa sifa ya kuwa shortlist.

Kuwa shortlist sio kwamba umepata nafasi, hiyo ni hatua moja kati ya hatua nyingi.

Hivyo ili uweze kusonga mbele kwenye hatua zote inabidi kila hatua usiikosee.

Hivyo, jamaa katahadharisha kuhusu anwani jinsi ilivyoandikwa kwenye tangazo ili kuepusha watu kukosea jambo dogo kama hilo na hatimaye waweze kuwa shortlist kwenda hatua nyingine
Au tuache tu hivyo hivyo
 
Walimu kwa sasa tunaongea nao lugha moja
 

Attachments

  • Screenshot_20250213_180016_Instagram.jpg
    Screenshot_20250213_180016_Instagram.jpg
    106.5 KB · Views: 2
yaani pepa za utumish ukihisi umetoboa ndio unakuta not selected sjui kwanin
Hizi kuna siku moja zilitaka kunipa sonona , nafungua account nakutana na Not selected kubwa.. dah ogopa hyo moment .. kuna jamaa nilikuwa naongea nae akawa ananiongelesha nikawa nahisi ananipigia kelele..
Mpk leo sija heal mkuu, kwa hyo situation wanayopitia walimu sio nzuri .tuwaombee.
 
Wakuu vip uko hawajaita watu kwenda interview maana waalimu na benk ni week ijayo zinaisha
 
Wale wa TRA.

Barua/cover letter unaiweka pamoja na CV? yaani unaiunganisha na CV?

Hii portal yao nayo ni hovyo tu
 
Wale wa TRA.

Barua/cover letter unaiweka pamoja na CV? yaani unaiunganisha na CV?

Hii portal yao nayo ni hovyo tu
Nop,ipo sehem mwishoni kabisa kwenye ku apply utaona sehemu ya ku attach CV and cover letter
 
Back
Top Bottom