El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
mbona matokeo ya BOT hawayatoi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walifanya interview kwa njia ya computer au nao ni kama walimu? Kwa kutumia makatarasi 😂mbona matokeo ya BOT hawayatoi
itakua waliandika waleWalifanya interview kwa njia ya computer au nao ni kama walimu? Kwa kutumia makatarasi 😂
Dah za kuandika Mzee ... Karatasi yako inaweza ikapotea ,🤣itakua waliandika wale
Accounts officer ii ilikua shughuli heavy.Oyaaa wee wale wa TAA vipi huko mrejesho tupen aloo
Ajira zimetangazwa August..had leo hakuna interview..hii taasis imeelemewa sio bure
Yaani miezi 8 unawaza interview? Kwani usitumie huo mda kuwaza mengine alafu wakitangaza ndo uirudishe akili yako?Ila utumishi wana fanya mzaha sana na maisha ya watu usahili miezi karibia nane watu wapo tu wana subiria kuitwa na wao tu..🤔
Ndio ukubwa kaka mtihan haujawai kuwa rahisi na ukiwa rahisi cutting point inakuwa juu zaid kama waalimu wa kiingerezaAccounts officer ii ilikua shughuli heavy.
Mkuu mfariji huenda kapambana kila kona matumain yamebaki kwenye vyeti tuYaani miezi 8 unawaza interview? Kwani usitumie huo mda kuwaza mengine alafu wakitangaza ndo uirudishe akili yako?
Aisee we una moyo saana miezi 8??
Haya GREAT THINKER bora umekuja, embu nionyeshe sehemu gani ya comment yangu hapo imesema kwamba ni mm ndio nimekaa huo muda wa miezi'8 bila usahili kama unavyo maanisha ww hapo then tuendelee na hiyo hoja yako mkuu..!? Maana ninacho kijua mm pale nili wasemea watu wanao pitia hiyo changamoto sasa naku shangaa na hicho' kiwango chako cha kufikiri mpaka ume shindwa kuelewa aina ya sentence ile ina maana gani ipo kwenye hali gani na bila shaka ww shule umekwenda pia.Yaani miezi 8 unawaza interview? Kwani usitumie huo mda kuwaza mengine alafu wakitangaza ndo uirudishe akili yako?
Aisee we una moyo saana miezi 8??
Nyie ndio wale mkiwa darasani ukisikia watu wamejibu ndioo na ww unaitikia tu ndioo hata kama hujaelewa topic husika ili mradi tu, haya msaidie mwenzako kujibu nilicho muuliza kwenye uelewa wake wa lugha kama mlivyo fundishwa huko mna potoka sasa.Mkuu mfariji huenda kapambana kila kona matumain yamebaki kwenye vyeti tu
Nikajua uliposema watu umejijumuisha nawewe! Ila mbona kama makasiriko mkuu,? Kama nimekukwaza niwie radhi tu, Wala sikusema Kwa ubayaHaya GREAT THINKER bora umekuja, embu nionyeshe sehemu gani ya comment yangu hapo imesema kwamba ni mm ndio nimekaa huo muda wa miezi'8 bila usahili kama unavyo maanisha ww hapo then tuendelee na hiyo hoja yako mkuu..!? Maana ninacho kijua mm pale nili wasemea watu wanao pitia hiyo changamoto sasa naku shangaa na hicho' kiwango chako cha kufikiri mpaka ume shindwa kuelewa aina ya sentence ile ina maana gani ipo kwenye hali gani na bila shaka ww shule umekwenda pia.
Kiongozi, punguza makasiriko basi.. mifano ya darasani yanini tena?Nyie ndio wale mkiwa darasani ukisikia watu wamejibu ndioo na ww unaitikia tu ndioo hata kama hujaelewa topic husika ili mradi tu, haya msaidie mwenzako kujibu nilicho muuliza kwenye uelewa wake wa lugha kama mlivyo fundishwa huko mna potoka sasa.
Kwa makasiriko hapana sina makasiriko ila niliweka hoja tu ya kuhoji ukweli wa maelezo yako kwa maana hayakuwa sahihi tu mkuu.Nikajua uliposema watu umejijumuisha nawewe! Ila mbona kama makasiriko mkuu,? Kama nimekukwaza niwie radhi tu, Wala sikusema Kwa ubaya
Tulia dawa ikuingie wewe unaleta mboyoyoNyie ndio wale mkiwa darasani ukisikia watu wamejibu ndioo na ww unaitikia tu ndioo hata kama hujaelewa topic husika ili mradi tu, haya msaidie mwenzako kujibu nilicho muuliza kwenye uelewa wake wa lugha kama mlivyo fundishwa huko mna potoka sasa.
Hapana hoja hujibiwa kwa hoja sio kwa makasiriko ndomana siwezi kuwa na makasiriko mkuu, niliona tu hakuna ukweli ndomana nikaamua kuhoji basi.Kiongozi, punguza makasiriko basi.. mifano ya darasani yanini tena?
Labda wewe ndo hukueleweka
Basi nimekuelewa kiongozi huenda ni kweli sikuelewa ulichomaanisha.Kwa makasiriko hapana sina makasiriko ila niliweka hoja tu ya kuhoji ukweli wa maelezo yako kwa maana hayakuwa sahihi tu mkuu.
Kwakuwa mtoa hoja ameliweka sawa mm sina tena hoja nyingine mkuu niko na mtazamo positive sana kwake sio hivyo unavyo fikiri.Tulia dawa ikuingie wewe unaleta mboyoyo
Basi imekaa poa sana mkuuKwakuwa mtoa hoja ameliweka sawa mm sina tena hoja nyingine mkuu niko na mtazamo positive sana kwake sio hivyo unavyo fikiri.