Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Yaani miezi 8 unawaza interview? Kwani usitumie huo mda kuwaza mengine alafu wakitangaza ndo uirudishe akili yako?

Aisee we una moyo saana miezi 8??
Mkuu mfariji huenda kapambana kila kona matumain yamebaki kwenye vyeti tu
 
Yaani miezi 8 unawaza interview? Kwani usitumie huo mda kuwaza mengine alafu wakitangaza ndo uirudishe akili yako?

Aisee we una moyo saana miezi 8??
Haya GREAT THINKER bora umekuja, embu nionyeshe sehemu gani ya comment yangu hapo imesema kwamba ni mm ndio nimekaa huo muda wa miezi'8 bila usahili kama unavyo maanisha ww hapo then tuendelee na hiyo hoja yako mkuu..!? Maana ninacho kijua mm pale nili wasemea watu wanao pitia hiyo changamoto sasa naku shangaa na hicho' kiwango chako cha kufikiri mpaka ume shindwa kuelewa aina ya sentence ile ina maana gani ipo kwenye hali gani na bila shaka ww shule umekwenda pia.
 
Mkuu mfariji huenda kapambana kila kona matumain yamebaki kwenye vyeti tu
Nyie ndio wale mkiwa darasani ukisikia watu wamejibu ndioo na ww unaitikia tu ndioo hata kama hujaelewa topic husika ili mradi tu, haya msaidie mwenzako kujibu nilicho muuliza kwenye uelewa wake wa lugha kama mlivyo fundishwa huko mna potoka sasa.
 
Haya GREAT THINKER bora umekuja, embu nionyeshe sehemu gani ya comment yangu hapo imesema kwamba ni mm ndio nimekaa huo muda wa miezi'8 bila usahili kama unavyo maanisha ww hapo then tuendelee na hiyo hoja yako mkuu..!? Maana ninacho kijua mm pale nili wasemea watu wanao pitia hiyo changamoto sasa naku shangaa na hicho' kiwango chako cha kufikiri mpaka ume shindwa kuelewa aina ya sentence ile ina maana gani ipo kwenye hali gani na bila shaka ww shule umekwenda pia.
Nikajua uliposema watu umejijumuisha nawewe! Ila mbona kama makasiriko mkuu,? Kama nimekukwaza niwie radhi tu, Wala sikusema Kwa ubaya
 
Nyie ndio wale mkiwa darasani ukisikia watu wamejibu ndioo na ww unaitikia tu ndioo hata kama hujaelewa topic husika ili mradi tu, haya msaidie mwenzako kujibu nilicho muuliza kwenye uelewa wake wa lugha kama mlivyo fundishwa huko mna potoka sasa.
Kiongozi, punguza makasiriko basi.. mifano ya darasani yanini tena?

Labda wewe ndo hukueleweka
 
Nikajua uliposema watu umejijumuisha nawewe! Ila mbona kama makasiriko mkuu,? Kama nimekukwaza niwie radhi tu, Wala sikusema Kwa ubaya
Kwa makasiriko hapana sina makasiriko ila niliweka hoja tu ya kuhoji ukweli wa maelezo yako kwa maana hayakuwa sahihi tu mkuu.
 
Nyie ndio wale mkiwa darasani ukisikia watu wamejibu ndioo na ww unaitikia tu ndioo hata kama hujaelewa topic husika ili mradi tu, haya msaidie mwenzako kujibu nilicho muuliza kwenye uelewa wake wa lugha kama mlivyo fundishwa huko mna potoka sasa.
Tulia dawa ikuingie wewe unaleta mboyoyo
 
Kiongozi, punguza makasiriko basi.. mifano ya darasani yanini tena?

Labda wewe ndo hukueleweka
Hapana hoja hujibiwa kwa hoja sio kwa makasiriko ndomana siwezi kuwa na makasiriko mkuu, niliona tu hakuna ukweli ndomana nikaamua kuhoji basi.
 
Back
Top Bottom