Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchambuzi yakinifu kwa jopo la ma auditors au wanasiasa wapiga zumari bungeni!heshimuni mamlaka pia uchambuzi yakinifu ni muhimu ndugu
Varation ni kubwa mnoo
Hujaelewa nn hapo mkuu? Over invoice ya ndegeKwenye mambo gani haswa?
UMOJA wa vilaza au mnaongelea uvccm ipiNakubaliana naww [emoji3581] Uvccm na wao wanaomba wapate nafasi wakaibe!!
Maajabu. !!Hii Nchi ina mamb ya ajabu san mamb ya kitaalam na kielimu ambayo ni reality kwa mujibu wa auditors eti yanapelekwa kwa wanasiasa wajadili 🤣🤣🤣
1.HAWANA AKILI YA KUIJADILIYaani mpaka mwadawa mtoto wa hayati Bob analia kuhusu ufisadi lkn uvccm wala hawana habari!!View attachment 2581186
Yaani mpaka mwadawa mtoto wa hayati Bob analia kuhusu ufisadi lkn uvccm wala hawana habari!!View attachment 2581186
HakikaUvccm wanasubili kauli ya mwenyekiti nao waanze kunata na biti,wanapima upepo unapoelekea.
Kweli tupu1.HAWANA AKILI YA KUIJADILI
2.WALIOTAJWA WOTE NI MAKADA WENZAO
3.CHAMA CHAO KINASIMAMIA SERIKALI ILIYOWAKUMBATIA MAFISADI
Umewasikia wakitoa tamko lolote?.Wapi wamesema wamejificha
Upo sahihi mautamu!!Sasa kuna UVCCM yoyote mwenye uwezo wa kujadili report ya CAG. Wale ni machawa wao kazi yao ni kuimba mapambio tu.
Nyie hata kuisoma ile report yenyewe hamuwezi ndio muweze kuichambua. Never, nyie kazi yenu ni kuimba mapambio na kukatishwa viuno majukwaani. Pumbavu kabisa nyie UVCCM na kale kamwenyekiti kenu kafupiiiUmewasikia wakitoa tamko lolote?.
uvccm ni genge la wapumbavu kama sukuma gang hawana uwezo wa kujadiri issues kama hizi za ufisadi zilizotajwa kwenye report ya CAG wao wanachoweza ni kazi ya ushoga tu ndio kazi yao hama mama yao kawaletea mtetezi wao hadi ikulu kutokea marekani.Yaani mpaka mwadawa mtoto wa hayati Bob analia kuhusu ufisadi lkn uvccm wala hawana habari!!View attachment 2581186