dinongo
JF-Expert Member
- Jun 25, 2022
- 814
- 1,054
Punguza makasiriko mkuu, SAMIA ndio Rais wako Hadi 2030Chawa bana, mnadhani hatukuona hilo tukio? Kila kiongozi alipigiwa makofi kivyake, hakuna rais yoyote aliyepigiwa makofi ya tofauti mpaka ulete hizi propaganda za kijinga.