Kwanini uwanja ulilipuka kwa shangwe alipotambulishwa Samia Kama 'iron lady'?

Kwanini uwanja ulilipuka kwa shangwe alipotambulishwa Samia Kama 'iron lady'?

Kumbe mama Samia sio wa mchezo mchezo.
Uwanja ulilipuka kwa shangwe la namna yake pale mama Samia alipotambulishwa Kama Iron lady , uwanja ulisimama kwa sekunde karibia 70.
Kwanini Wakenya wameonesha upendo mkubwa kiasi hiki kwa mama la mama.?
Tanzania na Kenya ni sister countries.
 
Back
Top Bottom